Elections 2010 Baadhi ya maboksi ya kupigia kura ya kura hewa tayari

Saharavoice

JF-Expert Member
Aug 30, 2007
3,882
2,374
Kuna tetesi kwamba baadhi ya maboksi ya kupigia kura yana kura hewa ndani yake. inasemekana kwamba maboksi hayo yamefungwa kitaalamu kiasi kwamba si rahisi kugundua hila hizo. ukiunganisha na taarifa kwamba kila kituo kina majina 100 hewa then uvumi huu unaweza kuwa kweli.

Angalizo: Mawakala wa vyama vya upinzani pimeni uzito wa kila box ili kujua kama uzito unawiana kwa sababu kwa mujibu wa baadhi ya wasimamizi wa Kura, kuna maboksi mazito na mepesi. swali la kujiuliza kama habari hii ina ukweli, Je maboksi yametengenezwa kwa standard tofauti?
 
nilishawahi kuwa mkuu wa kituo chaguzi ya 2000 huko nyuma; inatakiwa box liwe wazi kabla ya zoezi la kupiga kura kuanza na lionyeshwe kwa mawakala wote, alafu kifuniko na kufuli viwekwe. sijui kama taratibu zimebadilika mawakala wawe macho na wafike vituoni mapema alfajiri na kuthibitisha hilo.

Wagombea wawape mikakati mawakala wao, kuondoa wizi wa kura wa kienyeji.
 
Mimi ni mpenzi wa slaa na nimewahi kusimamia uchaguzi. Mabox ni transparent na kabla ya kuanza kupiga kura yanakaguliwa (utaratibu wa 2000) so sitaki kuamini habari hii
 
masanduku ni transparent, cha muhimu ni wasimamizi kuchukua idadi ya watu waliojiandikisha ambao wako kwenye list na baada ya uchaguzi, wafanye rikonsiliasheni ya idadi waliyonayo na ya kura zilizopo, na hilo la namba bila jina wanatakiwa waliweke wazi mapema kuwa halitakubaliwa kwa mtu mwenye namba tu bila kuwa na jina kupiga kura
 
Back
Top Bottom