FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
- Thread starter
- #21
Jesus Christ! what an I...t am I talking to!!?
Mzumbe has always been a second choice to Tanzanians students. Division one wanawahi Udsm two na three wanaenda kuchukua diploma Mzumbe. Hiyo ilimkumba hata Warioba wenu, hakuwa na sifa ya kusoma Udsm ikabidi aanze safari ndefu ya diploma kisha post diploma.
Kuwa na Grand points ya 3.8 kwenye first degree (second upper class) kwa UDSM kuna kupa nafasi ya kuajiriwa kama mwalimu wa chini (tutorial assistant). Baisi alikuwa na masters inayotambuliwa na USA(ulivyosema) hiyo ni a PLUS kupewa part time kazi. TATIZO ni nini hapo.
Ndugu Nungwi hata uandishi wako unaonyesha ni wa kishabiki na usio na point za kupangilia. hivi unajua kuwa Faculty of commerce UDSM itakuwa Business school soon? au huelewi naongelea nini?
Nenda duniani kote mueleze mtu nina Bcom ataelewa bila kukuuliza ni nini, ila BAFU inabidi akuulize kama ni kuoga au ni nini?
Check statistics za wanaoingia UDSM uone pass mark zao.
Wanaomaliza UDSM ni hot cake kwa makampuni ya kigeni na mashirika makubwa, hawana haja na low paying jobs serikalini na ndiko walikojaa akina kamala, warioba na hao pruducts za Mzumbe ambao baadaye wanawafanyia mtimanyongo wa UDSM. Hiyo ndio siri ya wanasiasa wengi kuwa product za Mzumbe na degree feki. Wanakimbilia siasa kwasababu kazi zao hazilipi.
Na ndio maana nchi hii haiendelei na wala haitoendelea!!!
FD
Mzumbe has always been a second choice to Tanzanians students. Division one wanawahi Udsm two na three wanaenda kuchukua diploma Mzumbe. Hiyo ilimkumba hata Warioba wenu, hakuwa na sifa ya kusoma Udsm ikabidi aanze safari ndefu ya diploma kisha post diploma.
Kuwa na Grand points ya 3.8 kwenye first degree (second upper class) kwa UDSM kuna kupa nafasi ya kuajiriwa kama mwalimu wa chini (tutorial assistant). Baisi alikuwa na masters inayotambuliwa na USA(ulivyosema) hiyo ni a PLUS kupewa part time kazi. TATIZO ni nini hapo.
Ndugu Nungwi hata uandishi wako unaonyesha ni wa kishabiki na usio na point za kupangilia. hivi unajua kuwa Faculty of commerce UDSM itakuwa Business school soon? au huelewi naongelea nini?
Nenda duniani kote mueleze mtu nina Bcom ataelewa bila kukuuliza ni nini, ila BAFU inabidi akuulize kama ni kuoga au ni nini?
Check statistics za wanaoingia UDSM uone pass mark zao.
Wanaomaliza UDSM ni hot cake kwa makampuni ya kigeni na mashirika makubwa, hawana haja na low paying jobs serikalini na ndiko walikojaa akina kamala, warioba na hao pruducts za Mzumbe ambao baadaye wanawafanyia mtimanyongo wa UDSM. Hiyo ndio siri ya wanasiasa wengi kuwa product za Mzumbe na degree feki. Wanakimbilia siasa kwasababu kazi zao hazilipi.
Na ndio maana nchi hii haiendelei na wala haitoendelea!!!
FD