Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Ukiwa na UKIMWI kifo kiko mlangoni pako. UKIMWI unafungulia kifo kwa haraka kupitia magonjwa mengine kama cancer, TB, BP n.k
Ukipima na ukabainika una VVU hapo stresses unazichochea, na ukibainika uko salama inakupa nguvu ya kujikinga zaidi.
Ndugu yangu kama una dalili moja kati ya hizi Mungu akutie nguvu, maybe una ngoma
1. Kikohizi cha mara kwa Mara
2. Ngozi kupauka
3. Mipele mikubwa usoni
4. Vipele sehemu za siri au vidonda
5. Unakula vizuri ila mwili unazidi kupungua.
6. Macho maangavu(meupe) sana.
7. Mwili/ngozi kuwasha.
8. Mwili kuchoka haraka.
9. Nywele kukosa afya (kuwa nyepesi sana)
Note: Nime experience haya kupitia wagonjwa wa UKIMWI.
Hebu jikague mwenyewe hapo ulipo.
Ukipima na ukabainika una VVU hapo stresses unazichochea, na ukibainika uko salama inakupa nguvu ya kujikinga zaidi.
Ndugu yangu kama una dalili moja kati ya hizi Mungu akutie nguvu, maybe una ngoma
1. Kikohizi cha mara kwa Mara
2. Ngozi kupauka
3. Mipele mikubwa usoni
4. Vipele sehemu za siri au vidonda
5. Unakula vizuri ila mwili unazidi kupungua.
6. Macho maangavu(meupe) sana.
7. Mwili/ngozi kuwasha.
8. Mwili kuchoka haraka.
9. Nywele kukosa afya (kuwa nyepesi sana)
Note: Nime experience haya kupitia wagonjwa wa UKIMWI.
Hebu jikague mwenyewe hapo ulipo.