Baadhi ya bidhaa za machinga zifuatiliwe kwa umakini

Wengi hawana utaratibu wa kuangalia used by date
Wananunua tu na kuondoka

Hizi bidhaa zinaishia mda wake madukani ila kuna wafanyabiashara ndio wanawapa wauze
 
Mkuu nilitilia Shaka that’s why nikanunua ili kujiridhisha
Me naona jamaa wapo sahihi, wanafahamu kuwa wanauza low quality ndo maana wanauza Bei cheap we ni kwanini usifahamu kuwa kwanini usijue kwanini wanakuuzia low price? I mean kwa mfano, mtu akikuuzia kitu used, anakuuzia low price kwa kuwa amesha kitumia au kina ubovu fulani tayari na wewe unakuwa ukilijua Hilo tayari na vivyovivyo ndo kwa bidhaa zingine zote, Price zake zipogo wazi kabisa so ukiona bidhaa inauzwa cheap kiasi Cha kushangaza inabidi ulifahamu Hilo.

Sent from my TECNO CE9 using JamiiForums mobile app
 
Wadau Habari,

Niende moja kwa moja kwenye mada, juzi nikiwa kwenye mizunguko ya kutafuta shilingi jijini Dar (coz nowadays siishi Dar) nikapita mtaa mmoja wenye machinga wengi usiku kama saa moja na kidogo hivi.

Nikaona jamaa anatangaza, “sabuni sabuni huku jero huku mia saba” sasa kilichonishangaza ni bei kuwa ndogo maana sabuni zenyewe zilikuwa Dettol

Ikabidi ninunue dettol ya jero(500) ili kujua imekuwaje leo ikauzwa bei hiyo. Nilipoiangalia kwenye tarehe ya ku expire nikakuta ilisha expire toka mwaka jana.

Angalizo:

Unaponunua bidhaa kwa matumizi ya mwili wako kutoka kwa machinga kwa bei rahisi zaidi tafadhali zingatia kuangalia expiry date.
Pia serikali itusaidie kutoa elimu kwa machinga has a wauza sabuni na mafuta ili watambue umuhimu wa kuilinda jamii yetu.

View attachment 2088834
Duh hii hatari kubwa sana hiyo sabuni tunanunua 2000-2500.
 
Me naona jamaa wapo sahihi, wanafahamu kuwa wanauza low quality ndo maana wanauza Bei cheap we ni kwanini usifahamu kuwa kwanini usijue kwanini wanakuuzia low price? I mean kwa mfano, mtu akikuuzia kitu used, anakuuzia low price kwa kuwa amesha kitumia au kina ubovu fulani tayari na wewe unakuwa ukilijua Hilo tayari na vivyovivyo ndo kwa bidhaa zingine zote, Price zake zipogo wazi kabisa so ukiona bidhaa inauzwa cheap kiasi Cha kushangaza inabidi ulifahamu Hilo.

Sent from my TECNO CE9 using JamiiForums mobile app

Tatizo afya kwa watanzania
 
Tatizo afya kwa watanzania
Usipojijali binafsi shauri yako mfanyabiashara anajali pesa yako na sio afya yako.
Mamlaka zingekuwa seriously Hakuna mama lishe angetumia vyombo vya plastic, magazeti,manailoni Ili kuongeza wagonjwa wa kansa.
 
Back
Top Bottom