Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
mmh leo kimbweka una nini baba?
i post yako km ya 4 ivi
una hasira leo ...hahhhaa
apana bwana usifanye ivo
nyumba ndgo nikwa upotevu
achana na idea izo
KWANINI UMEAMUA KUSAKA SMAll HAUS IF I MAY ASK??????
mmh leo kimbweka una nini baba?
I post yako km ya 4 ivi
una hasira leo ...hahhhaa
apana bwana usifanye ivo
nyumba ndgo nikwa upotevu
achana na idea izo
kwanini umeamua kusaka small haus if i may ask??????
Natafuta nyumba ndogo nzuri kabisa
Anayehitaji tuwasiliane PM
eace:
eace:
eace:
eace:
aaaahhaaaa!!!!!!nimekushika sasa si nimekuuliza kibweka kwenye post yako y kufumaniwa ukafumba macho hukusema laki nimekushika leoo...njoo tanga vitoto teeeeeele huku...nsalmie bi mkubwa...kakunyimani kwani???:smile:
hahahah kweli umenifuma ngoja nikapige service mashine kesho saa sita naingia tanga, barabara ya ngapi mkuu?
haya mkuu nipo mbioni, leo mimi na wao , wao na mimi mpaka kieleweke
asavali mzee
Natafuta nyumba ndogo nzuri kabisa
Anayehitaji tuwasiliane PM
eace:
eace:
eace:
eace:
Kwani leo umamkaje Kimbweka nitaku PM maana naona unaelekea kubaya wenzio wanazikimbia wewe unazitafuta jamani hebu acha hizo utapata UKIMWI bure tulia na wako
Kama ni nyumba ndogo kweli!
Umechoka kuishi nadhani.
Unatafuta kifo kwa lazima.
si vema