CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Chanzo Shafii blog!
Tunamtaka!Vipi Shomari Kapombe hammutaki?
Je Uhuru Selemani na Haruna Moshi?Tunamtaka!
Tunamtaka!Vipi Shomari Kapombe hammutaki?
Je Uhuru Selemani na Haruna Moshi?
Tufanye hivi, kile kikosi chenu kilichopigwa mkono mtupe sisi huku mkichukua wale mnaodhani kwamba bado mnawahitaji, halafu kile kikosi kilichowapiga mkono mchukue huku mkiacha wachezaji ambao mnaona hawana msaada, kile kikosi chenu ambacho hamkitaki sasa tutakiboresha kidogo na wale wabovu wa kwetu mtakaowaacha pamoja na kikosi cha mabingwa wa Uhai timu ya U20 ile iliyocheza na Asante Kotoko tuone kama mtalipa hizo tano.Tunawataka pia!
Tunamtaka na "MAKABURI NA MAHA-RAGE"
Ok ngoja nimpigie manji ili nimpe huo ushauri wako mkuu,thx.Tufanye hivi, kile kikosi chenu kilichopigwa mkono mtupe sisi huku mkichukua wale mnaodhani kwamba bado mnawahitaji, halafu kile kikosi kilichowapiga mkono mchukue huku mkiacha wachezaji ambao mnaona hawana msaada, kile kikosi chenu ambacho hamkitaki sasa tutakiboresha kidogo na wale wabovu wa kwetu mtakaowaacha na kikosi cha mabingwa wa Uhai timu ya U20 ile iliyocheza na Asante Kotoko tuone kama mtalipa hizo tano.
Mungu mlinde Manji, maana ikitokea kafa ghafla anaweza akaondoka na walipa kodi wengi sana.Ok ngoja nimpigie manji ili nimpe huo ushauri wako mkuu,thx.
Tufanye hivi, kile kikosi chenu kilichopigwa mkono mtupe sisi huku mkichukua wale mnaodhani kwamba bado mnawahitaji, halafu kile kikosi kilichowapiga mkono mchukue huku mkiacha wachezaji ambao mnaona hawana msaada, kile kikosi chenu ambacho hamkitaki sasa tutakiboresha kidogo na wale wabovu wa kwetu mtakaowaacha pamoja na kikosi cha mabingwa wa Uhai timu ya U20 ile iliyocheza na Asante Kotoko tuone kama mtalipa hizo tano.
Ok ngoja nimpigie manji ili nimpe huo ushauri wako mkuu,thx.
Ahsante kwa dua yako mkuu.Mungu mlinde Manji, maana ikitokea kafa ghafla anaweza akaondoka na walipa kodi wengi sana.
Sure mkuu.asee tunamtaka na Rage awe msemaji pale pentagoni
Nasikia kisiki wa Twiga star naye kesho anaingia nchini kwa ajili ya kumwaga wino ili kuboresha ngome ya Yanga queens ambayo Manji ana mpango wa kuifufua, ni kweli?Sure mkuu.
Huyu jamaa atatufaa sana.
Yes ni kweli!Nasikia kisiki wa Twiga star naye kesho anaingia nchini kwa ajili ya kumwaga wino ili kuboresha ngome ya Yanga queens ambayo Manji ana mpango wa kuifufua, ni kweli?
Sure mkuu.
Huyu jamaa atatufaa sana.
Je Uhuru Selemani na Haruna Moshi?