MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Sports Arena (Wasafi FM) Saa 2 na Nusu hadi Saa 5 Kamili Asubuhi
Saa 2 na Nusu mpaka Saa 4 na dakika 55 Watangazaji na Wachambuzi watazungumzia Kufungwa kwa Simba SC na TP Mazembe Goli 1 kwa 0 katika Simba Day leo.
Saa 4 na dakika 55 hadi Saa 5 Kamili watagusia Kiduchu tu Kutolewa kwa Aibu kwa Yanga SC huko CAF CL.
Hili Game (Clouds FM) Saa 3 Kamili Asubuhi hadi Saa 4 Kamili Asubuhi
Saa 3 Kamili mpaka Saa 3 na dakika 50 Watangazaji na Wachambuzi watazungumzia Kufungwa kwa Simba SC na TP Mazembe Goli 1 kwa 0 katika Simba Day leo.
Saa 3 na dakika 50 hadi Saa 4 Kamili watagusia Kiduchu tu Kutolewa kwa Aibu kwa Yanga SC huko CAF CL
Sports Headquarters (EFM Radio) Saa 3 Kamili Asubuhi hadi Saa 6 Kamili Mchana
Saa 3 Kamili mpaka Saa 5 na dakika 45 Watangazaji na Wachambuzi watazungumzia Kufungwa kwa Simba SC na TP Mazembe Goli 1 kwa 0 katika Simba Day leo.
Saa 5 na dakika 45 hadi Saa 6 Kamili watagusia Kiduchu tu Kutolewa kwa Aibu kwa Yanga SC huko CAF CL
Kipyenga Extra (East Africa Radio) Saa 6 Kamili Mchana mpaka Saa 7 Kamili Mchana
Saa 6 Kamili mpaka Saa 6 na dakika 58 Watangazaji na Wachambuzi watazungumzia Kufungwa kwa Simba SC na TP Mazembe Goli 1 kwa 0 katika Simba Day leo.
Saa 6 na dakika 58 hadi Saa 7 Kamili watagusia Kiduchu tu Kutolewa kwa Aibu kwa Yanga SC huko CAF CL.
Natamani sana Redio nyingi za Tanzania hasa katika Vipindi vya Michezo viige Redio yangu pendwa ya Metro FM ya nchini Afrika Kusini na wajifunze kutoka kwa aliyekuwa Mtangazaji wangu bora wa Michezo Robert Marawa ambaye hivi sasa amehamia Super Sports (Dstv)
Saa 2 na Nusu mpaka Saa 4 na dakika 55 Watangazaji na Wachambuzi watazungumzia Kufungwa kwa Simba SC na TP Mazembe Goli 1 kwa 0 katika Simba Day leo.
Saa 4 na dakika 55 hadi Saa 5 Kamili watagusia Kiduchu tu Kutolewa kwa Aibu kwa Yanga SC huko CAF CL.
Hili Game (Clouds FM) Saa 3 Kamili Asubuhi hadi Saa 4 Kamili Asubuhi
Saa 3 Kamili mpaka Saa 3 na dakika 50 Watangazaji na Wachambuzi watazungumzia Kufungwa kwa Simba SC na TP Mazembe Goli 1 kwa 0 katika Simba Day leo.
Saa 3 na dakika 50 hadi Saa 4 Kamili watagusia Kiduchu tu Kutolewa kwa Aibu kwa Yanga SC huko CAF CL
Sports Headquarters (EFM Radio) Saa 3 Kamili Asubuhi hadi Saa 6 Kamili Mchana
Saa 3 Kamili mpaka Saa 5 na dakika 45 Watangazaji na Wachambuzi watazungumzia Kufungwa kwa Simba SC na TP Mazembe Goli 1 kwa 0 katika Simba Day leo.
Saa 5 na dakika 45 hadi Saa 6 Kamili watagusia Kiduchu tu Kutolewa kwa Aibu kwa Yanga SC huko CAF CL
Kipyenga Extra (East Africa Radio) Saa 6 Kamili Mchana mpaka Saa 7 Kamili Mchana
Saa 6 Kamili mpaka Saa 6 na dakika 58 Watangazaji na Wachambuzi watazungumzia Kufungwa kwa Simba SC na TP Mazembe Goli 1 kwa 0 katika Simba Day leo.
Saa 6 na dakika 58 hadi Saa 7 Kamili watagusia Kiduchu tu Kutolewa kwa Aibu kwa Yanga SC huko CAF CL.
Natamani sana Redio nyingi za Tanzania hasa katika Vipindi vya Michezo viige Redio yangu pendwa ya Metro FM ya nchini Afrika Kusini na wajifunze kutoka kwa aliyekuwa Mtangazaji wangu bora wa Michezo Robert Marawa ambaye hivi sasa amehamia Super Sports (Dstv)