Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kama wewe ulivyo na akili mfuMawazo mfu!
Kama wewe ulivyo na akili mfuMawazo mfu!
Wewe kakate vitunguu jikoniLete kwanza ushaidi wa Kakonko alikutwa na 1.6m za kimarekani. Kama huna bora unyamaze uone jinsi Nchi inavyoendeshwa.
Mwanaume kutwa kupiga majungu tu na chuki kwa mwanaume mwenzako.
Umempa jibu sahihi kabisa.Kama wewe ulivyo na akili mfu
Comment boraKabla ya kuteua jina la makamu wa Rais lazima kunafanyika background check ya mambo mengi; inapoonekana mtu Hana makandokando ndipo jina linapendekezwa. Mambo Mengi yaliyohusu fedha enzi za mwendazake , alikuwa anayashuhulikia yeye mwenyewe akishirikiana na Dotto ambate ndio alikuwa PAYMASTER GENERAL. Inasemekana mara nyingi Waziri wa fedha alikuwa bypassed!!! Hivyo usitegee smoking gun itakayomchafua Mpango kutokana na special Audit ya BOT.
Mkuu ile kampeni ya kujengwa chuo kikuu chato inaendeleaje ?Mawazo mfu!
Eti hadi mtu apishe uchunguzi kwa kifoMkuu inashangaza kidogo kwamba tz yenye watu ml 50 hatuna uwezo wa wakupata watu Safi kwa nafasi nyeti mpaka wale wale,baba ,mtoto, mjukuu, hata kitukuu, hii nitabia mbaya Sana na inakela, afrika tulisha zikwa ,ile kitu mfumo wa kimtandao watutafuna Sana, that's may be mungu hakukosea kutupa ngonzi nyeusi nasema maana Kama mungu mmoja why akatenga ngonzi ,macho,nywele ndefu KWA wengine kuliko sie
Wacha ipandishwe hadhi ya mkoa halafu adhima iko pale pale kumuenzi shujaa wa africa!Mkuu ile kampeni ya kujengwa chuo kikuu chato inaendeleaje ?
Unabembelezea bundle!Kama wewe ulivyo na akili mfu
Haa😆😅😄😃😂😁😀😆😅😄😂Mwendazake kajua kunifurahisha. Sasa ni kutokomeza genge la Wasukuma fisadi.
Hivi huyo mumeo huwa unamhudumia saa ngapi?Unabembelezea bundle!
Unabembelezea bundle!Hivi huyo mumeo huwa unamhudumia saa ngapi?
Jiangalie usije kupigwa taraka kama mwenzako Wakudadavua.
Tumekwisha wamaliza sasa iliyobakia mnashikana uchawi.Unabembelezea bundle!