Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,634
- 6,801
Nyama ishuke bei maana ng'ombe ni wengi.
kwahiyo kosa ni CCM au upinzani wenyewe kama wameamua kujitoa acha wenzao watambeBaada ya wapinzani kufanyiwa figisu figisu hivyo kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM wamepata aibu nchi nzima.
1. Wamekosa washindani nchi nzima
2. Wanafanya kampeni peke yao nchi nzima. Hakuna hamasa, majigambo nk.
3. Wamekosa wasikilizaji hadhira.
4. Wameishia kupeleka wasanii wa muziki na ngoma za asili mikutanoni.
5. Wanakusanyana Wilaya nzima kwenda mtaa mmoja ili mkutano uonekane umejaa watu.
6. Wameambulia watoto kwenye mikutano badala ya watu wazima.
Wakuu mnaweza kuongezea.
Wamtambie nani?kwahiyo kosa ni CCM au upinzani wenyewe kama wameamua kujitoa acha wenzao watambe
Na wananchi tulivyokua wajinga utakuta mtu Hadi nguo zinapepesuka eti anashangilia kiongozi flani kapita bila kupingwa.Miaka yote wanapita bila kupingwa wamelinufaisha vipi taifaWanahalalisha kupiga mabilioni yaliyotengwa kwa uchaguzi. CCM inaongoza kwa ufisadi
Mwakyembe anahutubia miti KyelaBaada ya wapinzani kufanyiwa figisu figisu hivyo kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM wamepata aibu nchi nzima.
1. Wamekosa washindani nchi nzima
2. Wanafanya kampeni peke yao nchi nzima. Hakuna hamasa, majigambo nk.
3. Wamekosa wasikilizaji hadhira.
4. Wameishia kupeleka wasanii wa muziki na ngoma za asili mikutanoni.
5. Wanakusanyana Wilaya nzima kwenda mtaa mmoja ili mkutano uonekane umejaa watu.
6. Wameambulia watoto kwenye mikutano badala ya watu wazima.
Wakuu mnaweza kuongezea.
Mambo ndo kama hivyo.Hivi hizi kampeni kuna mahali zimefanyika....
Wekeni hata picha basi.
Mashambulizi ya nini mkuu? Ukiisoma comment yangu halafu ukasoma ya kwako, upumbavu uko wapi?Huna hoja wewe,pumbavu.
Maendeleo ya watu ama maendeleo ya vitu?
Akili zenu chadema wote zinafanana.mmewanyima watu uhuru wa kugombea nafasi kwa maamuzi ya watu wachache tunawasubiri na mwakani.
Na hata mwakani msipozingua hampati hata kiti kimoja bungeni
7. Wamefanikiwa adhma yao kwa 99% Kuwa na viongozi katika ngazi ya vijiji na Mitaa!Baada ya wapinzani kufanyiwa figisu figisu hivyo kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM wamepata aibu nchi nzima.
1. Wamekosa washindani nchi nzima
2. Wanafanya kampeni peke yao nchi nzima. Hakuna hamasa, majigambo nk.
3. Wamekosa wasikilizaji hadhira.
4. Wameishia kupeleka wasanii wa muziki na ngoma za asili mikutanoni.
5. Wanakusanyana Wilaya nzima kwenda mtaa mmoja ili mkutano uonekane umejaa watu.
6. Wameambulia watoto kwenye mikutano badala ya watu wazima.
Wakuu mnaweza kuongezea.
Ni sawa tuu si utafurahi??!!Akili zenu chadema wote zinafanana.mmewanyima watu uhuru wa kugombea nafasi kwa maamuzi ya watu wachache tunawasubiri na mwakani.
Na hata mwakani msipozingua hampati hata kiti kimoja bungeni
Kwani aliyepita bila kupingwa hawezi hizo kazi? na kama hawezi mlipendekeza wa nini agombee? au yale makaratasi ya kura ndio yanamfanya awe active.Umesusia, je utasusia na huduma!! Utahitaji maji, unabidi uchukue barua kwa mwenyekiti wa mtaa! Sisi tunataka maendeleo sio blaablaaa!