Baada ya wapinzani kususia uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, aibu waliyoipata CCM hawataisahau

Baada ya wapinzani kufanyiwa figisu figisu hivyo kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM wamepata aibu nchi nzima.

1. Wamekosa washindani nchi nzima

2. Wanafanya kampeni peke yao nchi nzima. Hakuna hamasa, majigambo nk.

3. Wamekosa wasikilizaji hadhira.

4. Wameishia kupeleka wasanii wa muziki na ngoma za asili mikutanoni.

5. Wanakusanyana Wilaya nzima kwenda mtaa mmoja ili mkutano uonekane umejaa watu.

6. Wameambulia watoto kwenye mikutano badala ya watu wazima.

Wakuu mnaweza kuongezea.
kwahiyo kosa ni CCM au upinzani wenyewe kama wameamua kujitoa acha wenzao watambe
 
Wanahalalisha kupiga mabilioni yaliyotengwa kwa uchaguzi. CCM inaongoza kwa ufisadi
Na wananchi tulivyokua wajinga utakuta mtu Hadi nguo zinapepesuka eti anashangilia kiongozi flani kapita bila kupingwa.Miaka yote wanapita bila kupingwa wamelinufaisha vipi taifa
 
Umesusia, je utasusia na huduma!! Utahitaji maji, unabidi uchukue barua kwa mwenyekiti wa mtaa! Sisi tunataka maendeleo sio blaablaaa!
 
Baada ya wapinzani kufanyiwa figisu figisu hivyo kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM wamepata aibu nchi nzima.

1. Wamekosa washindani nchi nzima

2. Wanafanya kampeni peke yao nchi nzima. Hakuna hamasa, majigambo nk.

3. Wamekosa wasikilizaji hadhira.

4. Wameishia kupeleka wasanii wa muziki na ngoma za asili mikutanoni.

5. Wanakusanyana Wilaya nzima kwenda mtaa mmoja ili mkutano uonekane umejaa watu.

6. Wameambulia watoto kwenye mikutano badala ya watu wazima.

Wakuu mnaweza kuongezea.
Mwakyembe anahutubia miti Kyela
 
Eti hao mapolisi-CCM wameapa kuwa wataulinda uchaguzi huu kwa kufa na kuona na atakayethubutu kufanya Fujo, wamajiapiza kuwa watamtumbukiza kwenye tanki la magari ya washawasha!

Hivi wasiwasi wote huo nyinyi maccm wa nini, wakati vyama vya upinzani vimesema kuwa hawatashiriki kwenye huo UCHAFUZI wenu
 
Wasimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa leo wako kwenye bonge la honeymoon. Muendelezo wa ccm kuaibika.
IMG_20191124_101432.jpg
 
Baada ya wapinzani kufanyiwa figisu figisu hivyo kujitoa uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM wamepata aibu nchi nzima.

1. Wamekosa washindani nchi nzima

2. Wanafanya kampeni peke yao nchi nzima. Hakuna hamasa, majigambo nk.

3. Wamekosa wasikilizaji hadhira.

4. Wameishia kupeleka wasanii wa muziki na ngoma za asili mikutanoni.

5. Wanakusanyana Wilaya nzima kwenda mtaa mmoja ili mkutano uonekane umejaa watu.

6. Wameambulia watoto kwenye mikutano badala ya watu wazima.

Wakuu mnaweza kuongezea.
7. Wamefanikiwa adhma yao kwa 99% Kuwa na viongozi katika ngazi ya vijiji na Mitaa!
 
Umesusia, je utasusia na huduma!! Utahitaji maji, unabidi uchukue barua kwa mwenyekiti wa mtaa! Sisi tunataka maendeleo sio blaablaaa!
Kwani aliyepita bila kupingwa hawezi hizo kazi? na kama hawezi mlipendekeza wa nini agombee? au yale makaratasi ya kura ndio yanamfanya awe active.
 
Back
Top Bottom