Baada ya Wanaume wengi wa Tanzania kuwa Utopolo Vitandani, Wanawake wakimbilia Mimba za Kupandikiza Muhimbili

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
Tukiwaonyeni kuwa acheni sana Kutumia Vumbi la Congo kwani lina madhara makubwa Kwenu hamtusikii.

Tukiwaonya acheni kupenda Kula Chips Mayai na Kuku wa Maabara pamoja na Mayonaizi pia hamtuelewi.

Tukiwaambia acheni Kuchepuka hovyo na kuwa na Mademu kila Kona kwani wanaathiri pia Nguvu bado hamtuelewi tu.

Haya sasa imefahamika kuwa kila Siku Wanawake Wanne wanaenda Hospitali ya Muhimbili ili Kupandikizwa Mimba na Maabara baada ya Wanaume wengi ( siyo Krav Maga ) kugundulika kuwa na tatizo la Nguvu za Kiume zinazoweza Kutunga Mimba.

Habari Kamili Nipashe Ukurasa wa Pili.
 
Jamani sasa kama leo wanaume wanaishiwa nguvu vipi watoto wetu tunawawalisha viepe...bagger..breakfast yai bin conflex..tukijua ni afya kumbe tunawaua. Jamani inabidi tupate elimu juu ya afya njema ya uzazi mapema kuikoa uzao wetu!
 
Tukiwaonyeni kuwa acheni sana Kutumia Vumbi la Congo kwani lina madhara makubwa Kwenu hamtusikii.

Tukiwaonya acheni kupenda Kula Chips Mayai na Kuku wa Maabara pamoja na Mayonaizi pia hamtuelewi.

Tukiwaambia acheni Kuchepuka hovyo na kuwa na Mademu kila Kona kwani wanaathiri pia Nguvu bado hamtuelewi tu.

Haya sasa imefahamika kuwa kila Siku Wanawake Wanne wanaenda Hospitali ya Muhimbili ili Kupandikizwa Mimba na Maabara baada ya Wanaume wengi ( siyo Krav Maga ) kugundulika kuwa na tatizo la Nguvu za Kiume zinazoweza Kutunga Mimba.

Habari Kamili Nipashe Ukurasa wa Pili.
Suala la kukosa nguvu ya kiume haiwezi mfanya mwanaume kushindwa kutungisha mimba mwanamke,na pia kuwa na nguvu ya kiume si kuwa na uwezo wa kumtungisha mimba mwanamke.Ni suala mbegu za mwanaume kuwa butu au sterile.
 
Tukiwaonyeni kuwa acheni sana Kutumia Vumbi la Congo kwani lina madhara makubwa Kwenu hamtusikii.

Tukiwaonya acheni kupenda Kula Chips Mayai na Kuku wa Maabara pamoja na Mayonaizi pia hamtuelewi.

Tukiwaambia acheni Kuchepuka hovyo na kuwa na Mademu kila Kona kwani wanaathiri pia Nguvu bado hamtuelewi tu.

Haya sasa imefahamika kuwa kila Siku Wanawake Wanne wanaenda Hospitali ya Muhimbili ili Kupandikizwa Mimba na Maabara baada ya Wanaume wengi ( siyo Krav Maga ) kugundulika kuwa na tatizo la Nguvu za Kiume zinazoweza Kutunga Mimba.

Habari Kamili Nipashe Ukurasa wa Pili.
Kushindwa kumpa mimba mwanamke na ukosefu wa nguvu za kiume ni vitu viwili tofauti, waweza kua imara kama simba kitandani na usiweze kumpa mimba mwanamke
 
Tukiwaonyeni kuwa acheni sana Kutumia Vumbi la Congo kwani lina madhara makubwa Kwenu hamtusikii.

Tukiwaonya acheni kupenda Kula Chips Mayai na Kuku wa Maabara pamoja na Mayonaizi pia hamtuelewi.

Tukiwaambia acheni Kuchepuka hovyo na kuwa na Mademu kila Kona kwani wanaathiri pia Nguvu bado hamtuelewi tu.

Haya sasa imefahamika kuwa kila Siku Wanawake Wanne wanaenda Hospitali ya Muhimbili ili Kupandikizwa Mimba na Maabara baada ya Wanaume wengi ( siyo Krav Maga ) kugundulika kuwa na tatizo la Nguvu za Kiume zinazoweza Kutunga Mimba.

Habari Kamili Nipashe Ukurasa wa Pili.
hao wanawake ni wakishua watu wa uswahilini hiyo pesa ya pandikizi anatoa wap
 
Tukiwaonyeni kuwa acheni sana Kutumia Vumbi la Congo kwani lina madhara makubwa Kwenu hamtusikii.

Tukiwaonya acheni kupenda Kula Chips Mayai na Kuku wa Maabara pamoja na Mayonaizi pia hamtuelewi.

Tukiwaambia acheni Kuchepuka hovyo na kuwa na Mademu kila Kona kwani wanaathiri pia Nguvu bado hamtuelewi tu.

Haya sasa imefahamika kuwa kila Siku Wanawake Wanne wanaenda Hospitali ya Muhimbili ili Kupandikizwa Mimba na Maabara baada ya Wanaume wengi ( siyo Krav Maga ) kugundulika kuwa na tatizo la Nguvu za Kiume zinazoweza Kutunga Mimba.

Habari Kamili Nipashe Ukurasa wa Pili.
research pia haija specify ni wanawake wa umri upi wengi wanapandikiza
 
Mpaka kuolewa umekanyagwa na wanaume zaidi ya 20 wenye mipini tofauti tofauti halafu uje unichoshe mimi kuliridhisha pango hilo..
 
acha utoto wako,kwenda kupandikiza mimba sio kesi yawanaume kutokua na uwezo kurutubisha yai lamwanamke...hukutakiwa kuja na hukumu mojakwamoja,vipi kuhusu shida zaowao wanawake wenye shida kwenye mirija yao ya uzazi....ningesema hapa ngoja kwaleo niwe mpole.ila usirudie kuhukumu nawanawake acheni sana kuutumia ujana wenu vibaya,maduka ya madawa baridi wanauza sana madawa yakutolea mimba hovyo

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom