Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 752
- 3,094
Hii imetokea siku chache baada ya China kuwakomalia Zambia baada ya kukopa na kushindwa kulipa kwa wakati hivyo kujikuta wachina wakichukua shirika la umeme Zambia.
Rais Magufuli akiwa ziarani mkoani Simiyu amesema...
Nakukuu: "Kukopa harusi, kulipa matanga lakini kwetu sisi Tanzania kukopa harusi na kulipa ni harusi, sio matanga. Ndio maana wafadhili wanaendelea kutukopesha"
Rais Magufuli akiwa ziarani mkoani Simiyu amesema...
Nakukuu: "Kukopa harusi, kulipa matanga lakini kwetu sisi Tanzania kukopa harusi na kulipa ni harusi, sio matanga. Ndio maana wafadhili wanaendelea kutukopesha"