Kabulala
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 695
- 935
Kama ndio hivyo SASA naanza kuelewa ni Kwa nini vyama vingi ndivyo uchagua mgombea na kumpandikiza Kwa wananchi ili wampigie Kura...Wenye uelewa katika Siasa hasa Viongozi hawana Imani na machaguo ya wananchi au uwezo wao wa kujichagulia Viongozi Bora.Sera tunaongea tu kama sehemu ya kusherehesha, ila kiukweli wapiga kura wengi hawapigi kura kwa kujali sera, bali sababu nyingine kama mazoea, rushwa, hamasa nk. Ni asilimia chache sana wanachagua kwa sera. Na sasa hivi chini ya Magufuli, kumeibuka aina nyingine ya kupata uwakilishi kwa kupita bila kupingwa.