Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,626
Acha utani bana. tuko serious!Mimi nafikiri tumchokoze Mrussi maana tuko vizuri sana..
wewe unataka m- Russia acheke maisha yake yooote. tena ataacha mambo ya vita kabisaaa! ananawa mikono,
hatasumbuka kutuma hata watoto zao wa kike na silaha za moto.
Vikijazwa vichangu Doa vya ki -Russia typical, vyeupeee, nywele mpaka mgongoni, yaani kuanzia miaka (15-20yrs by age), tani moja tu, nakwambia Makomandoo wetu tegemewa wote na Majemedari wooote wa JWTZ , Wabunge, Mawaziri, wote watagombania na kutupa silaha chini. vikao vya Kujadili vita bungeni havitakalika tena, Guest House zoote Bara mpaka Pwani zitakuwa ni pamba moto shambulia. zitajaa ni acha kabisa. sasa hapo M- Russia hajacheka bado mpaka ajinyee?