Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,623
Duh mkuu wewe endelea tu kufukua makaburi huku kwenye mambo ya tech waachie wataalamu.Wewe vitu vingi bado huvielewi. 5G haijagunduliwa, ni teknolojia ile ile ya 3G, 4G na kuendelea.
Unaposema 5G imegunduliwa na China inaonyesha kabisa kuna vitu huelewi.
So kwako 3G, 4G na 5G ni kitu kimoja, aiseee nimeamini kujisomea ni muhimu.....
Hebu ingia hata Google ujisomee kujua tofauti