Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,714
- 39,795
mkuu hakuna anaekataa mediatek ana low end soc nzuri, hapa tunazungumzia Huawei kampuni inayosifika kwa flagship, mate 40, p40 etc, kuna mediatek gani inafit hizo simu?Umesahau hata samsung ametumia mtk, mfano Galaxy A10s, na Nokia pia 5.1 na nyingine pia nyingi za kitambo hata kabla ya p22