Baada ya Vifurushi vipya: Internet speed ya Vodacom ni majanga

Kweli asee hta mm nimeliona hilo Jana nmenunua mb z kuchek mpira live et inagomagoma kuonessh slid y Kobe wakta cku z nyuma ilikuw spid ferar unachek Moira hta asubuh sio mpk ungoje night kali
 
Hakuna mtandao wenye speed Kam voda, labda eneo ulilopo

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaolalamika wengi tupo maeneo Yale Yale ya zamani. Na tupo maneno tofauti.
Speed imekuwa mbovu sana toka majuzi kwa vufurushi vipya. Vifurushi vya ya kwako tu vipi vilevile ila vinategemea na simcard. Simcard yangu hainiruhusu kupata data zaidi ya mb300. Ila Jamaa yangu anapata 1gb na speed ipo kama zamani.
So suala sio location. Naomba wale wanaosema tatizo ni location basi wawe wanasoma uzi Kwanzia mwanzo.
 
Tunaolalamika wengi tupo maeneo Yale Yale ya zamani. Na tupo maneno tofauti.
Speed imekuwa mbovu sana toka majuzi kwa vufurushi vipya. Vifurushi vya ya kwako tu vipi vilevile ila vinategemea na simcard. Simcard yangu hainiruhusu kupata data zaidi ya mb300. Ila Jamaa yangu anapata 1gb na speed ipo kama zamani.
So suala sio location. Naomba wale wanaosema tatizo ni location basi wawe wanasoma uzi Kwanzia mwanzo.

Hivi hii huduma ya "yakwako tu" hua wanatumia kigezo gani? Mimi mwanzo nilikua napata 1gb na nilikua naweka kila siku. Nashangaa baadae wakaja kunibadilishia wakaanza kunipa 250mb kwa Tsh 1000!
 
VODA com watafanya niikoseshe serikali Maputo. Maana nitakuwa job less, sifanyi kazi, kazi za ofisini kwangu zinahitaji internet yenye speed nzuri, sasa mm toka juzi nashindwa kufanya kazi itakuwaje mapato ya serikali? Bora tu nirudi nichukue kitamblisho cha wajasiria Mali nirudi Kwenye Umachinga.
Inchi yetu haiendani na technology inavyokuwa,
Nimejiunga kifurushi ya siku 3. Hakiishi.

Muda ukiisha narudi smile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali hii inalalamikiwa mpaka huku, kwann vodacom wasitoe tamko?
 
Yes now that is a fair and just comparison.

Vodacom LTE sio ya spidi hiyo.

At the moment nabaki na halotel. Even though wanathrottle network ifikapo usiku, hali sio mbaya kiasi hicho, na upload haiwi throttled inabaki 30Mbps.

Mchana download ni 50Mbps. Usiku 3Mbps

View attachment 1358294
Ilikuwa ni issue ya bundle wame-throttle speed. Nimemaliza hilo bundle la Jimwage kwa kudownload hata upumbavu. Nimerudi kwenye bundles za kawaida

1581835631616.png


At least now.

By the way, ngoja nijaribu na halotel.
 
Vifurushi vingine mfano ya kwako tu na vyenyewe vina spidi hiyo hiyo ya kinyonga au ni hicho kifurushi kipya cheap tu.

Yani wamekata speed kwa wote au wanunuaji wa hivyo vifurushi vya bei ndogo tu ndio wamekatiwa?
Wamekata speed hivi vifurushi vipya vya bei chee... Nilinunua GB 20 nimejuta. Siwezi jiunga kingine, na hiki kilikuwa hakitaki kuisha.
 
Nimejiunga kifurushi ya siku 3. Hakiishi.

Muda ukiisha narudi smile.
1584576588176.png

Nimewajaribu leo, kwa vifurushi vyao vipya, speed inaridhisha kwa matumizi ya kawaida.

Angalizo: Internet speed hutegemea mahala ulipo, Hili ni tatizo kwa mitandao yetu yote
 
Back
Top Bottom