Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 332
Kwanza Rais wa JMT nakupongeza kwa jitihada zako za kupigania maisha ya Watanzania.
Nimefurahishwa sana na wazo lako la filamu inayotangaza vivutio vya utalii nchini.
Ziara yako Marekani ni nyenzo kuu ya kuinua uchumi wa Tanzania katika utalii na uwekezaji.
Hakika Rais wewe ni zawadi kwa Watanzania katika maisha mazuri.
Naomba ufanye tena ziara ya kutembelea nchi za Ulaya uzidi kuitangaza filamu hii.Itakuwa si vizuri usifanye ziara Ufaransa, Italia, Spain, Ujerumani, Ubelgiji, Uholanzi, Uswisi, Lexembourg, Urusi na usisahau Canada.
Puuza maneno ya watu yasiyokuwa na tija. Miezi 6 inatosha kutembelea nchi zote maana faida ya ziara yako Ulaya itakuwa kubwa kuliko gharama.
Umezitenga nchi kama Spain na Italy kuzitembelea kwani hizi nchi zinaleta watalii wengi sana nchini, nenda Zanzibar watalii wengi kutoka Spain, Italy na Ufaransa.
Rais zidi kuiweka nchi yetu karibu na Ulimwengu kwa manufaa ya Watanzania.
Nimefurahishwa sana na wazo lako la filamu inayotangaza vivutio vya utalii nchini.
Ziara yako Marekani ni nyenzo kuu ya kuinua uchumi wa Tanzania katika utalii na uwekezaji.
Hakika Rais wewe ni zawadi kwa Watanzania katika maisha mazuri.
Naomba ufanye tena ziara ya kutembelea nchi za Ulaya uzidi kuitangaza filamu hii.Itakuwa si vizuri usifanye ziara Ufaransa, Italia, Spain, Ujerumani, Ubelgiji, Uholanzi, Uswisi, Lexembourg, Urusi na usisahau Canada.
Puuza maneno ya watu yasiyokuwa na tija. Miezi 6 inatosha kutembelea nchi zote maana faida ya ziara yako Ulaya itakuwa kubwa kuliko gharama.
Umezitenga nchi kama Spain na Italy kuzitembelea kwani hizi nchi zinaleta watalii wengi sana nchini, nenda Zanzibar watalii wengi kutoka Spain, Italy na Ufaransa.
Rais zidi kuiweka nchi yetu karibu na Ulimwengu kwa manufaa ya Watanzania.