Baada ya uwekezaji wa mda mrefu hili ndo lilikuwa jibu langu. Toa na wewe la kwako

Mimi hua nawaambia kila siku, kadri unavyokaa na mwanamke muda mrefu bila kumtafuna ndio uwezekano wa kumtafuna unavyozidi kupungua na mvuto wako kwake nao unaenda ukipungua. Unakaaje na mwanamke miezi 7 hujala mzigo? Ina maana miezi 7 yote hiyo mnakua mnafanya nini mkikutana? Hata kwenye simu hamna tena cha kujadili maana hata stori zitakua zimeshaisha mnabaki "mambo mengine vipi?" "poa" "nipe mpya""hamna".
Narudia tena, maximum ya kutoka na mwanamke kabla ya kumla ni wiki mbili! Ikishazidi hapo kama hujala hata mate tu we achana nae huyo anatengeneza mazingira ya kukuchuna na mzigo hutakuja kuuonja kamwe...!!
una roho mbaya kama shetani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom