Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,111
una roho mbaya kama shetaniMimi hua nawaambia kila siku, kadri unavyokaa na mwanamke muda mrefu bila kumtafuna ndio uwezekano wa kumtafuna unavyozidi kupungua na mvuto wako kwake nao unaenda ukipungua. Unakaaje na mwanamke miezi 7 hujala mzigo? Ina maana miezi 7 yote hiyo mnakua mnafanya nini mkikutana? Hata kwenye simu hamna tena cha kujadili maana hata stori zitakua zimeshaisha mnabaki "mambo mengine vipi?" "poa" "nipe mpya""hamna".
Narudia tena, maximum ya kutoka na mwanamke kabla ya kumla ni wiki mbili! Ikishazidi hapo kama hujala hata mate tu we achana nae huyo anatengeneza mazingira ya kukuchuna na mzigo hutakuja kuuonja kamwe...!!
Sent using Jamii Forums mobile app