Resurrection
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 719
- 901
Nina imani VP Mpango hatamuangusha Madame President. Raisi akiwa Safi na VP akiwa basi wale wachafu hawana tena nafasi ktk utawala wake time will tellWell nisingependa kuingia kwenye malumbano ya kisheria ambako siko kwangu, ila uzoefu unaonesha kuwa SIYO LAZIMA every incoming new president aanze au ateue baraza la mawaziri lake. It is rightly assumed kuwa kwenye uteuzi wa haya mabaraza ya mawaziri, Rais mara nyingi, kama sio zote, huwa akishauriana na Makamu wake , so it is assumed! Tusubiri tuone hiki mnachosema na kutafsiri nyie wasomi wa sheria.