Baada ya utekelezaji wa sheria ya kodi jana, nasubiri ile sheria ya matibabu ya Lissu

Aug 29, 2017
90
154
Siku hizi kadhaa kumezuka wimbi kubwa sana la wanachama watiifu wa chama cha Mapinduzi kutetea na kurejea katiba, sheria, kanuni na taratibu za nchi.

Hili limedhibitishwa na mpiga zumari wa Ikulu ndugu Musiba kumkandia RC Makonda kwa kutaka kuvunja sheria za kodi.

Mtegoni pia alinasa waziri wa fedha na hata Rais mwenyewe.

Kuna ile sheria ya matibabu ya wabunge, nasubiri sana itekelezwe kikamilifu kwa Tundu Lissu aliye Ubelgiji matibabuni.
 
Naona kila mjadala ukiibuka mnataka kututoa kwenye reli kwa hiyo dead story ya huyo jamaa yenu,Figo haziuziki nini? Mlipuyanga wenyewe kwa ujuaji wala hakuna sheria inayowabeba!Keba bisengo ya nse!
 
Naona kila mjadala ukiibuka mnataka kututoa kwenye reli kwa hiyo dead story ya huyo jamaa yenu,Figo haziuziki nini? Mlipuyanga wenyewe kwa ujuaji wala hakuna sheria inayowabeba!Keba bisengo ya nse!
Kwa sababu mmeanza kulia lia kutaka amnesty ya sheria, ni lazima sheria zote zitekelezwe.
 
Siku hizi kadhaa kumezuka wimbi kubwa sana la wanachama watiifu wa chama cha Mapinduzi kutetea na kurejea katiba, sheria, kanuni na taratibu za nchi.

Hili limedhibitishwa na mpiga zumari wa Ikulu ndugu Musiba kumkandia RC Makonda kwa kutaka kuvunja sheria za kodi.

Mtegoni pia alinasa waziri wa fedha na hata rais mwenyewe.

Kuna ile sheria ya matibabu ya wabunge, nasubiri sana itekelezwe kikamilifu kwa Tundu Lissu aliye Ubelgiji matibabuni.
Ova
images-1.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi kadhaa kumezuka wimbi kubwa sana la wanachama watiifu wa chama cha Mapinduzi kutetea na kurejea katiba, sheria, kanuni na taratibu za nchi.

Hili limedhibitishwa na mpiga zumari wa Ikulu ndugu Musiba kumkandia RC Makonda kwa kutaka kuvunja sheria za kodi.

Mtegoni pia alinasa waziri wa fedha na hata rais mwenyewe.

Kuna ile sheria ya matibabu ya wabunge, nasubiri sana itekelezwe kikamilifu kwa Tundu Lissu aliye Ubelgiji matibabuni.
Mbona Katibu wa Bunge alishaisoma na kila mwenye akili akaelewa? Somo bado? Arudi nchini, apewe rufaa na nchi italipa. Ukishajipa rufaa kwenda kusikojulikana, ukafika ndo ukapiga simu eti niko Ubelgiji lipeni, hiyo ni bili yake
 
Mbona Katibu wa Bunge alishaisoma na kila mwenye akili akaelewa? Somo bado? Arudi nchini, apewe rufaa na nchi italipa. Ukishajipa rufaa kwenda kusikojulikana, ukafika ndo ukapiga simu eti niko Ubelgiji lipeni, hiyo ni bili yake
Hayo maelezo ni kama ya Makonda yaliyokataliwa jana, sheria haisemi hivyo
 
Mbona Katibu wa Bunge alishaisoma na kila mwenye akili akaelewa? Somo bado? Arudi nchini, apewe rufaa na nchi italipa. Ukishajipa rufaa kwenda kusikojulikana, ukafika ndo ukapiga simu eti niko Ubelgiji lipeni, hiyo ni bili yake
Kila menye akili timamu anajua kuwa hiyo condition iliamzia kwa TL. Mbona Bunge ni lenu na manalitumia mtakavyo. Kuna sheria inaruhusu mbunge kupigwa risasi na watu "wasiojulikana"? Sheria gani inayosema wasijulikane na kwanini?
 
Naona kila mjadala ukiibuka mnataka kututoa kwenye reli kwa hiyo dead story ya huyo jamaa yenu,Figo haziuziki nini? Mlipuyanga wenyewe kwa ujuaji wala hakuna sheria inayowabeba!Keba bisengo ya nse!
Hapo unaonesha ukilaza wako na udogo wa akili yako. We mmama kama huwezi kujadili mada nenda kampikie mmeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana katika mitaa ya kinondoni hasa mitaa ya Ufipa(makao makuu ya wauza madawa ya kulevya) kumesikika miziki na watu wakinywa pombe sana huku wakishangilia taarifa ya Makonda kukemewa na rais kuhusu suala la makontena.

Wauza madawa hawa wanaona muda wa Makonda kuondoka Dares salaam umefika hivyo kuwaachia uhuru wa kufanya biashara yao bila kubanwa.

Ikumbukwe tu kuwa biashara ya madawa ya kulevya haiathiri Makonda wala familia yake ,hao hao mnaoshangilia watoto wenu na ndiyo watatumia hayo madawa na kuwa vibaka wa kuja kuwaibia huko na wengine watakuja kuwa mazezeta


Sent using Jamii Forums mobile app
 
acha kujificha kwenye kivuli cha madawa isue hapa ni kutokufuata sheria na kukwepa kodi hayo mengine ni kichaka tuu.
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana katika mitaa ya kinondoni hasa mitaa ya Ufipa(makao makuu ya wauza madawa ya kulevya) kumesikika miziki na watu wakinywa pombe sana huku wakishangilia taarifa ya Makonda kukemewa na rais kuhusu suala la makontena.

Wauza madawa hawa wanaona muda wa Makonda kuondoka Dares salaam umefika hivyo kuwaachia uhuru wa kufanya biashara yao bila kubanwa.

Ikumbukwe tu kuwa biashara ya madawa ya kulevya haiathiri Makonda wala familia yake ,hao hao mnaoshangilia watoto wenu na ndiyo watatumia hayo madawa na kuwa vibaka wa kuja kuwaibia huko na wengine watakuja kuwa mazezeta


Sent using Jamii Forums mobile app
giphy.gif

Huko kwa manju hali ilivyo
Review_23458_Photo__8839.jpg

Na huko Monduli kwa Lowassa sherehe zimeanza.
 
Mbona Katibu wa Bunge alishaisoma na kila mwenye akili akaelewa? Somo bado? Arudi nchini, apewe rufaa na nchi italipa. Ukishajipa rufaa kwenda kusikojulikana, ukafika ndo ukapiga simu eti niko Ubelgiji lipeni, hiyo ni bili yake

Inaelekea Watanzania kwa ujumla tuna roho mbaya, wivu au hatupendani ...........!!

Nimegundua hili kila likitokea tatizo;
Lissu alipomwagiwa risasi, kuna kundi la watu lilifurahia .......!!
Kigwangalla alipopata ajali kuna kundi la watu lilifurahia .......!!
Rais alipofiwa kuna kundi la watu lilifurahia .......!!
Sugu alipofungwa kuna kundi la watu lilifurahia .......!!
Makonda kawekwa kati kuna kundi la watu lilifurahia .......!!

Hii inaeonyesha kuwa kuna chuki kubwa miongoni mwa Watanzania.

That is my perception ........ I stand to be corrected!!
 
Back
Top Bottom