Baada ya utafiti wa siku nyingi hatimaye nimegundua hili...

bafetimbi

JF-Expert Member
Aug 19, 2018
1,085
1,735
Wasalaam ndugu zangu. Baada ya kuingia chimbo la takriban miezi kadhaa nikifanya tafiti mbalimbali, ghafla nikajikuta navutiwa sana na utafiti juu ya hili jambo.

Ni jambo moja nyeti sana ambalo watu wengi hawajalitilia maanani, si wanaume wala wanawake. Kwa kifupi wote hawajagundua juu ya jambo hili nyeti na lenye mvuto wa aina yake.

Utafiti wangu ulianza mnamo mwaka 5/7/2021. Katika mkoa wa Kagera, hakika kagera inavutia, inapendeza na ina kila kitu ambacho kilihitajika hasa katika utafiti wangu, ndugu zangu ama kwa hakika hili ni jambo litakaloishangaza dunia. Lazima dunia itastaajabu upekee na unyeti wa utafiti huu toka kwa mtanzania mwenzenu. Hebu jiulize ni wanasayansi wangapi mpaka leo hii bado hawajagundua hili?

Je ni watu wangapi duniani hawajagundua hili swala japo wanaliona na kulifanya kila siku?.

Hitimisho la utafiti wangu nikagundua kwamba KUPIMA OIL kwa kidole gumba cha mguu wa kushoto kuna msisimko wa aina yake. Yaani usio na kifani tena ikifanywa kwa ustadi mzuri inaweza kupelekea mmoja wenu akapoteza maisha kwa msisimko wa "Dole Gumba Oil Measure" kwa pande zote mbili yaani "ke" na "me".

Na baada ya kutoka Kagera nikarudi kumalizia utafiti wangu jijini Mbeya bado utamu ni ule ule ndugu zangu.

Nategemea kuhamishia tafiti zangu jijini Dar es salaam ifikapo desemba mwaka huu.

Mwaka huu wapima Oil tuna jambo letu.

Ahsante na tafiti ziendelee.

IMG-20211013-WA0004.jpg
 
Wewe Ni Mgeni Huko Ulikokutaja
Muleba, Nshamba, Katerero, Runazi, Omurushaka, Bulila Kayanga, Nkwenda, Kaisho!!
Huko Nylon Tele, Water Ni Tele. Ugundue Hayo Mambo Miaka Tele
 
Yaani JF ni kiboko, bila kujali niko jukwaa gani mawazo yangu yalipeleka kuwa kuna kitu cha maana mhusika kagindua

Yaani nimecheka sana jaman loooh
Karibu sana, ni tafiti za kina sana hizi. Uko mkoa gani? pengine timu yangu inaweza kutembelea huko hivi karibuni
 
Karibu sana, ni tafiti za kina sana hizi. Uko mkoa gani? pengine timu yangu inaweza kutembelea huko hivi karibuni
Arusha, itembelee kufanya utafiti ama? na utafiti huo atafanyiwa nani jaman na hilo dole gumba la mguu

hahahhahaha my ribs
 
Daaa asieee inabidi wizara ya elimu ijifikirie na ibadili zile points za sabbu zinazopelekea afrika kutokuendelea,

wazitoe zile zilizozoeleka zile zaa lack of capita, poor government supoort, badara yake waweke point moja yenye kichwa kikubwa FOOLISHNESSES & BASTARDLINESS&STUPIDITY.

mwanzo wa habar yako nikajua utakuja na maelezo ya ugunduzi wa kilimo bora cha ndizi huko bukoba na mbeya uko tukuyu, badara yake unaleta maelezo ya kubomoa taifa....nashauri huyu mleta mada auwawe mbele ya kadamnasi.
 
Arusha, itembelee kufanya utafiti ama? na utafiti huo atafanyiwa nani jaman na hilo dole gumba la mguu

hahahhahaha my ribs
Arusha nitatembelea muda si mrefu maana kwa sasa nipo Mtwara na tafiti imepamba moto huku na imepokelewa vizuri mno. Nikitoka huku itabdi nipige trip ya dharula mpaka huko Chugastan.
 
Daaa asieee inabidi wizara ya elimu ijifikirie na ibadili zile points za sabbu zinazopelekea afrika kutokuendelea,

wazitoe zile zilizozoeleka zile zaa lack of capita, poor government supoort, badara yake waweke point moja yenye kichwa kikubwa FOOLISHNESSES & BASTARDLINESS&STUPIDITY.

mwanzo wa habar yako nikajua utakuja na maelezo ya ugunduzi wa kilimo bora cha ndizi huko bukoba na mbeya uko tukuyu, badara yake unaleta maelezo ya kubomoa taifa....nashauri huyu mleta mada auwawe mbele ya kadamnasi.
Uko mkoa gani ndugu? Ili nije huko haraka. Inaelekea kuna uhaba wa mawakala wa vipimo vya Oil.
 
Arusha nitatembelea muda si mrefu maana kwa sasa nipo Mtwara na tafiti imepamba moto huku na imepokelewa vizuri mno. Nikitoka huku itabdi nipige trip ya dharula mpaka huko Chugastan.
hapa chugastian ni mambo ya hela tu na Kveve, hayo mambo yako hatuyatambui


bora ubaki huko ulikosema
 
Nikiangalia kwa darubini kali naona kabisa watu wengi wanauhitaji wa vipimo huko.
hamna best, sisi mambo yetu ni makubwaaaaaaaaaaaaaaaaa...only Kveve ndo mpango mzima wa chugastian na cha arumeru

hahahahhahahahah
 
Back
Top Bottom