myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 147,447
- 655,112
duh!!Huyo jamaa ni boya kweli....huvi sie wanaume tunakosea wapi...mwanamke kugawa papuchi nje ni kitu cha kawaida sana sasa wee wataka kuumiza moyo bure.
duh!!Huyo jamaa ni boya kweli....huvi sie wanaume tunakosea wapi...mwanamke kugawa papuchi nje ni kitu cha kawaida sana sasa wee wataka kuumiza moyo bure.
Ulimlaaa auKuna mazingira ukimweka karibu mwanamke lazima uumle tu, hata kama anamisimamo kama alshabab.....
Wengine hujikuta tayar washaliwa, na hakuwa na lengo la ku-cheat....
Juzi nilokuja Dar, kuna mke wa mtu nilikuja mpa mafunzo flani..,
Nilimkuta mwenyewe nyumbani, mumewe yuko kazini....
Ndani ya masaa mawili, mtu macho yamelegea, haelewi wala hasikii nachomfundisha.....
Tena ya houseboy tamu kweli, kila ukirudi unamkuta nyumbani unajiona kidume kumbe e
Pia ni sifaMalaya watakuwa wengi sana humu.
Hapana,Ulimlaaa au
Ova
Mangi jamani ebu weka pichaUkute Trainer ana kifua kama changu sasa .....
Ukimkumbatia mtoto hoi bintaabani....
Shuniee nn tena....Mangi jamani ebu weka picha
Ha ha hatar sana mangiiHapana,
Na Kamwe nisingeweza fanya hivyoo....
Ila angenikuta ni yule mangi wa mwaka jana, ningeacha manyoya pale.
Picha bwana ya kifua ebu wekaShuniee nn tena....
Hahaha dahCha ajabu kuna trainer mimi namlia demu wake pamoja na kitambi changu cha safari lager
Haya mambo hayana kanuni
Umesemaje?Nikaombe kazi ya Ku trainer Gym
Na wakipiga mzigo wanapiga kweli kweli utadhani wamepewa kazi ya kuhamisha kifusi cha molam kama kile kilichoangukia watu janaJamaa wana stamina, kumbuka zoezi wao ni bread and butter
Sasa ukute huyo mwanamke anamuelewa zaidi trainer wake kuliko huyo mumewe aliyemfanya amjue trainer hapo ndio utajua muandaa pilipili source na mtumiaji nani anapata ladha halisi.