Sorry nataka kujua jee ni Haki kumpigiaa HR simu baada ya zoezi la oral interview? Na je baada ya oral lazima wakupigie simu if umekosa au umepataa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hi ndio ya pili kikubwaa nilipo toka hawakuniambia ...je nikimtumia HR email ya kumuuliza nitakuwa nimekoseaaYote mawili si lazima. Mostly unaweza ambiwa kama utafanikiwa interview ya pili utapigiwa so relax for now.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kausha mkuu,Hi ndio ya pili kikubwaa nilipo toka hawakuniambia ...je nikimtumia HR email ya kumuuliza nitakuwa nimekoseaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee hapo tumepitaa somaa vizuriiKausha mkuu,
Hii sentensi ya "Only Shortlisted Candidates Will be contacted" ina maana kubwa sana.