Hapo sasaKama TFF watasema saini ilifojiwa, nasubiria kwa hamu kusikia nini kilimsukuma BM kwenda kwa Luc na baadae kwa Ingia kuomba kuvunja mkataba?
Hapo sasaKama TFF watasema saini ilifojiwa, nasubiria kwa hamu kusikia nini kilimsukuma BM kwenda kwa Luc na baadae kwa Ingia kuomba kuvunja mkataba?
Fuateni utaratibu mtampata, Wanayanga hawana mpango na huyu muhuni na mtovu wa nidhamu.
Hadi sasa tunaongoza 5 - 1
Bado robo saa kikao kihitimishe hoja
Umeshapoteza credibility jomba! Pigo la jana limeyumbisha dish!
Mimi ni GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE a.k.a " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " au hili nalo ulikuwa haulijui tu?
Unafahamika na Kuku na mbuzi wako hapo kwako, huna impact katika uchumi wa nchi wewe ni NULL hapa JF
Kama huyu.Mashabiki wa Simba na yanga wengi ni mental victims.
Tanzania Simba na Yanga hata ziboronge vipi haziwezi kupewa adhabu eti ya kushushwa daraja.
Hata kama ingekuwa ligi ni MTOANI, Simba na Yanga zitabebwa bebwa zusitoke.
Magazeti yenyewe kila siku front pages ni Simba au Yanga, bila hivyo hayauzi
Ile ni biashara ya WATU.
Akili ya mikia kota moko kalia.Taarifa nilizozipata kutoka katika Chanzo changu 'Nyeti' zinasema kwamba kilichogundulika juu ya Sakata zima la Mchezaji Bernard Morrison ni kwamba Klabu ya Yanga 'imedanganya' kuhusu 'Mkataba' wake na kwamba hata 'Sahihi' yake pia 'imefojiwa' kinyume na Sheria. Ukweli kamili wa hili upo njiani kutolewa kwa Watanzania ili 'Wahuni' na 'Matapeli' wa Soka la Tanzania wajulikane na waumbuke rasmi.
Chanzo changu hicho Kimeendelea kusema kwamba sehemu ambayo Yanga SC 'imejikoroga' ni katika Tarehe ya Mkataba wa Mchezaji Bernard Morrison ambapo Yanga SC 'wamedanganya' Umma kuwa 'alisajiliwa' tarehe 15 na Kuuwasilisha TFF wakati Mchezaji aliwasili nchini tarehe 17 na hata Mawasiliano yake ya Email yana Ukweli wote pamoja na Tiketi yake ya Ndege.
Hivyo basi 'Adhabu' ambayo huenda Yanga SC 'ikakumbana' nayo katika 'Hukumu' inayoenda 'Kutolewa' leo ni ama 'Kunyang'anywa' Alama ( Points ), Kupigwa Faini Kubwa, Kuzuiwa Kufanya Usajili, Kushushwa Daraja, Viongozi wake Kukamatwa, Kushtakiwa na Kufungiwa kabisa. Na kama TFF wakisema walipeleke hili 'Suala' huko FIFA kuna uwezekano Klabu ya Yanga 'ikafutwa' katika ramani.
Chanzo hicho kimemalizia kwa kunielezea kuwa kumbe baada ya Uongozi wa Yanga SC hasa kupitia 'Wadhamini' wao GSM kuona kwamba wanaenda 'Kuumbuka' walienda Kutoa 'Rushwa' ya Tsh Milioni 20 TFF ili hili 'Suala' lisiende mbali lakini Uongozi Imara na wenye 'Uweledi' wa TFF ukakataa huo 'Upuuzi' na kuwaambia Yanga SC hili 'Suala' lazima lifike mwisho ili liwe Fundisho nchini.
Baada ya Yanga SC na GSM kujua kuwa 'wameshalikoroga' na Mashabiki wao hawatawaelewa wameamua 'Kuwahadaa' kwa Kufanya 'Usajili' wa aliyekuwa CEO wa Simba SC Senzo Mbatha Mazingisa huku 'wakiwadanganya' kuwa 'wanamsajili' Mchezaji Clatous Chama na akina Deo Kanda. Hii yote Yanga SC wanafanya kama kutafuta 'Huruma' kwa Mashabiki na Wanachama Wao.
Namalizia kwa kusema 'sijakulazimisha' ukubaliane na nilichokiwasilisha hapa ila Yanga SC jana walifurahi lakini leo watalia sana na Moto utawaka.
Hii ni aibu zaidi kwa wachambuzi wa mpira mara nyingi wamekuwa hawako fair hasa kwenye ishu zinazowagusa GSM.
Wamekuwa biased sana kwenye maoni yao hasa kama GSM wamekosea.
Hawazungumzii usanii na utapeli wanaofanya GSM. Eddo Kumwembe, Kitenge, George Job na wengine mnatia aibu.
Nimechaka jana, ndo nikajua kua ushabiki unaondoa akili kabsa, Juzi Yeye baada ya Senzo kujiuzulu aliandika sababu zilizosababisha ajiuzuru Simba. Na sababu zote anasema Simba wanaendesha klabu bila ueledi. Afu anakuja kumuhoji Manara anamuuliza Kwa nini Senzo ameondoka? Manara akamjibu we si unazijua sababu na uliandika jana kwenye page yako. Je wewe zile sababu alikuambia Senzo akajibu hapana ni watu tu wanaongea.Hii ni aibu zaidi kwa wachambuzi wa mpira mara nyingi wamekuwa hawako fair hasa kwenye ishu zinazowagusa GSM.
Wamekuwa biased sana kwenye maoni yao hasa kama GSM wamekosea.
Hawazungumzii usanii na utapeli wanaofanya GSM. Eddo Kumwembe, Kitenge, George Job na wengine mnatia aibu.
Sijawahi kuona ukiandika pumba kama leo!?
Unauliza Uume Ukeni Mkuu? Kazi imeshamalizika huko na muda wowote 'Kamati' inaenda kutuwekea Mambo 'Hadharani' ili Yanga SC 'Moto' uwake.
Kwann muda wote mtu akikikupinga unakuwa na matusi.. MODS PIGA BAN HUYU KICHAA.Mbona hata 'Makalioni' Kwako hizo 'Pumba' zipo tena nyingi tu na wala hushangai / hujishangai?