Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,614
- 8,546
Mti wenye matunda ndio utupiwao mawe. Mti dume hausumbuliwi!Alafu hivi kwani Diamond ndio yeye pekee tu?
Mbona Ally Kiba hawamsumbui
Mti wenye matunda ndio utupiwao mawe. Mti dume hausumbuliwi!Alafu hivi kwani Diamond ndio yeye pekee tu?
Mbona Ally Kiba hawamsumbui
Majani kamtaka aposti au shabiki ndio kataka apostiwe majani kafanya kama daraja tu la kupitishia maoni ya shabikiHiyo ngoma imekua posted kweny wasafi media...mnataka airtime gani? Kila msanii Akiomba kazi yake ipostiwe na Mond itakuaje? WCB wakae wamuogope Rapcha kwa kipi?
Binafsi hiyo ngoma nimeijulia kweny page ya wasafi Instagram..nikaenda youtube
Dogo akaze tu atafika mbali...lakin haya maswala ya kumtak Diamond apost ili dogo kazi yale ifike ni ujinga...
Na baba levo muongezee hapoH-Baba kaanza mziki na akajulikana kabla ya Diamond , ni aibu Leo kuwa chawa wa mwanafunzi wa Diamond.... Yani unakuwa official third party....!!! Mwijaku ndo usiseme kabisa hata kama bifu ndo zinakuza mziki Ila ni kama wamechochora
Hakika kabisaaaah.Mimi nisingejali sana. Ingenipa motivation ya kuzidi kupiga Kazi.
Wanisuse tu, mimi ningekausha.
Ila nikifika juu sasa wabalance shobo vile vile, tusijuane sana.