Kwahiyo wakiitwa watu wenye akili nawe utatoka mbele wakati ulichoandika kinaonesha wazi jinsi gani ulivyo juha!! Pamoja na kujichekesha chekesha kwako bado unaonekana stupid tu kwa sababu Diamond hana wajibu wa ku-post ngoma za watu kama unavyolia lia hapa!!Sio thinking error? 😂😂 sema kanywe maji mkuu upoze kichwa, hii mijadala sio ya kutilia akili nyingi sana kama kutatua equations, just relax ,