- Thread starter
- #21
Wajinga wengi ndivyo wanavyoamini. Ila ukiwauliza alifanya nini, hawana maelezo. Waliamini yale manebo yake ya uwongo.Magufuli alifanya kazi nzuri sana kwenye madini.
Jambo pekee alilolifanya zuri kwenye sejta ya madini, ni kuweka masoko ya kununuloa dhahabu.