FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,188
- 107,727
Zoezi la uhakiki wa vyeti feki na wafanyakazi hewa lilikuwa la maana sana na umuhmu wa kipekee kwa kuongeza ufanisi, lakini halitoshi.
Ili kuboresha ufanisi na utendaji, uwajibikaji, na huduma kws jamii ni wakati muafaka sasa serikali ianze kupima kila shirika la umma, idara zote za serikali, wizara na taasisi zote za serikali kwa viwango vya kimataifa viijulikanavyo kama ISO.
Bila hivyo hakuna mwenye kuelewa anafata vigezo vipi vya ufanisi anapoteuliwa au kupata kazi kwenye sehemu tajwa.
Serikali itaendelea kutafuta wachawi mpaka dahari ikiwa watumishi wake hawana standard ya kuifata.
Hii ianze kwa mawaziri mpaka chini kabisa huko kwa watendaji wa mitaa.
Ushauri muhimu huu kwa serikali inayotaka matunda yake yajioneshe yenyewe bila kupigiwa debe.
Ili kuboresha ufanisi na utendaji, uwajibikaji, na huduma kws jamii ni wakati muafaka sasa serikali ianze kupima kila shirika la umma, idara zote za serikali, wizara na taasisi zote za serikali kwa viwango vya kimataifa viijulikanavyo kama ISO.
Bila hivyo hakuna mwenye kuelewa anafata vigezo vipi vya ufanisi anapoteuliwa au kupata kazi kwenye sehemu tajwa.
Serikali itaendelea kutafuta wachawi mpaka dahari ikiwa watumishi wake hawana standard ya kuifata.
Hii ianze kwa mawaziri mpaka chini kabisa huko kwa watendaji wa mitaa.
Ushauri muhimu huu kwa serikali inayotaka matunda yake yajioneshe yenyewe bila kupigiwa debe.