Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,203
- 85,311
Sababu kubwa ya ugomvi ni baada ya kutoka shambani, nikapitiliza kilabuni.
Nimerudi nipo bwax nikakuta amenuna.
Kwakua alikua hajakula niliamua nimuandalie roast samaki, chips, kachumbari ili ashushie na juice ya matunda mchanganyiko.
Hapa kaisha maliza kula wakuu, ngoja nitoe vyombo nikaoshe alafu nije room nimnawishe alafu nifute meza.
Nimerudi nipo bwax nikakuta amenuna.
Kwakua alikua hajakula niliamua nimuandalie roast samaki, chips, kachumbari ili ashushie na juice ya matunda mchanganyiko.
Hapa kaisha maliza kula wakuu, ngoja nitoe vyombo nikaoshe alafu nije room nimnawishe alafu nifute meza.