Baada ya ugomvi na wife, hiki ndicho nilicho kifanya ili mapenzi

Ushimen

JF-Expert Member
Oct 24, 2012
37,203
85,311
Sababu kubwa ya ugomvi ni baada ya kutoka shambani, nikapitiliza kilabuni.

Nimerudi nipo bwax nikakuta amenuna.

20220517_213228.jpg

20220517_213203.jpg

Kwakua alikua hajakula niliamua nimuandalie roast samaki, chips, kachumbari ili ashushie na juice ya matunda mchanganyiko.
20220517_215550.jpg
20220517_215536.jpg

Hapa kaisha maliza kula wakuu, ngoja nitoe vyombo nikaoshe alafu nije room nimnawishe alafu nifute meza.
 
Sababu kubwa ya ugomvi ni baada ya kutoka shambani, nikapitiliza kilabuni.
Nimerudi nipo bwax nikakuta amenuna.



View attachment 2228544
View attachment 2228548
Kwakua alikua hajakula niliamua nimuandalie roast samaki, chips, kachumbari ili ashushie na juice ya matunda mchanganyiko.
View attachment 2228553View attachment 2228557
Hapa kaisha maliza kula wakuu, ngoja nitoe vyombo nikaoshe alafu nije room nimnawishe alafu nifute meza.
Swala la kumridhisha Mtu mzima mwenye meno 32 kama wewe ni ndoto za bunuwasi, ebu jifunze kupotezea kisha uje unishukuru baadaye.
 
Sababu kubwa ya ugomvi ni baada ya kutoka shambani, nikapitiliza kilabuni.
Nimerudi nipo bwax nikakuta amenuna.



View attachment 2228544
View attachment 2228548
Kwakua alikua hajakula niliamua nimuandalie roast samaki, chips, kachumbari ili ashushie na juice ya matunda mchanganyiko.
View attachment 2228553View attachment 2228557
Hapa kaisha maliza kula wakuu, ngoja nitoe vyombo nikaoshe alafu nije room nimnawishe alafu nifute meza.
Oooh am craving for the fish🤤🤤🤤
 
Sababu kubwa ya ugomvi ni baada ya kutoka shambani, nikapitiliza kilabuni.

Nimerudi nipo bwax nikakuta amenuna.

View attachment 2228544
View attachment 2228548
Kwakua alikua hajakula niliamua nimuandalie roast samaki, chips, kachumbari ili ashushie na juice ya matunda mchanganyiko.
View attachment 2228553View attachment 2228557
Hapa kaisha maliza kula wakuu, ngoja nitoe vyombo nikaoshe alafu nije room nimnawishe alafu nifute meza.
Hapo lazma arudishe moyo ndani.

Kama amekula hivyo basi dukuduku limeisha.
 
Back
Top Bottom