Baada ya Uchaguzi Mkuu tujiandae kushuhudia mnyukano CHADEMA

maramia

JF-Expert Member
Jul 17, 2015
2,030
1,344
Naamini baada tu ya kutangazwa matokeo ya Rais na wabunge, na CCM kuibuka na ushindi wa 62% kwa nafasi za ubunge na urais kwa 70% Ukawa hawatakuwa tena na nafasi ya hata kufanya tathmini ya kushindwa kwao ila wataanza kunyukana kumtafuta mchawi wa kushindwa kwao.

Naamini pia huo ndio utakuwa mwisho wao kisiasa, na kama nilivyowahi kusema huko nyuma huo ndio utakuwa mwisho wa kitu kinachoitwa Chadema.

Mbowe atanyukwa, Tundu Lissu atasakamwa, Prof Safari, Baregu na Salum Mwalimu wataandamwa mpaka watimke. Lowassa ndio kabisaaa, hakuna atakayetaka kulisikia hata jina lake.

Inatia huruma sana kwa Chadema iliyofikia hatua ya kuaminiwa na mamilioni ya watanzania kufa kifo cha kibudu na cha aibu kiasi hiki.

Watamkumbuka, watamlilia na watajutia matusi waliyomporomoshea Dk Wilbroad Slaa ambaye mpaka leo mimi namwamini, namkubali na ninamuunga mkono. Dk Slaa atabakia mshindi wa kudumu ktk Chadema.

Tukubali tusikubali kesho Chadema itapigwa mweleka ambao haikuwahi kuufikiria na viongozi wake wataparaganyika kuanzia hiyo kesho.
 
Naamini baada tu ya kutangazwa matokeo ya Rais na wabunge, na CCM kuibuka na ushindi wa 62% kwa nafasi za ubunge na urais kwa 70% Ukawa hawatakuwa tena na nafasi ya kufanya tathmini ya kushindwa kwao ila wataanza kunyukana kumtafuta mchawi wa kushindwa kwao.

Naamini pia huo ndio utakuwa mwisho wao kisiasa, na kama nilivyowahi kusema huko nyuma huo ndio utakuwa mwisho wa kitu kinachoitwa Chadema.

Mbowe atanyukwa, Tundu Lissu atasakamwa, Prof Safari, Baregu na Salum Mwalimu wataandamwa mpaka watimke.

Inatia huruma sana kwa Chadema iliyofikia hatua ya kuaminiwa na mamilioni ya watanzania kufa kifo cha kibudu na cha aibu kiasi hiki.

Watamkumbuka, watamlilia na watajutia matusi waliyomporomoshea Dk Wilbroad Slaa ambaye mpaka leo mimi namwamini, namkubali na ninamuunga mkono.

Tukubali tusikubali kesho Chadema itapigwa mweleka ambao haikuwahi kuufikiria.

Chadema inakuhusu nini wewe zumbukuku pandikizi huku. Funga bakuli lako mshamba ww
 
Baada ya uchaguzi kweli baadhi ya vyama vitadorora lkn chadema kitastawi zaidi kwa sababu ndicho chama kimevuna wanachama wengi zaidi msimu huu.kitakua na wabunge wengi na kitaimarika zaidi.umenipata hapo wa mihingo.
 
Kwa taarifa yako hata kama ukawa hawatashinda lakini watakuwa na nguvu kuliko tangu uchaguzi wa vyama vingi uanze hapa nchini sababu watapata wabunge wakutosha na pia kura za urais watapata nyingi sana kwa hiyo watakuwa na ruzuku ya kutosha kuendesha vyama vyao na hapo ndo wataimariki zaid.
 
Naamini baada tu ya kutangazwa matokeo ya Rais na wabunge, na CCM kuibuka na ushindi wa 62% kwa nafasi za ubunge na urais kwa 70% Ukawa hawatakuwa tena na nafasi ya kufanya tathmini ya kushindwa kwao ila wataanza kunyukana kumtafuta mchawi wa kushindwa kwao.

Naamini pia huo ndio utakuwa mwisho wao kisiasa, na kama nilivyowahi kusema huko nyuma huo ndio utakuwa mwisho wa kitu kinachoitwa Chadema.

Mbowe atanyukwa, Tundu Lissu atasakamwa, Prof Safari, Baregu na Salum Mwalimu wataandamwa mpaka watimke.

Inatia huruma sana kwa Chadema iliyofikia hatua ya kuaminiwa na mamilioni ya watanzania kufa kifo cha kibudu na cha aibu kiasi hiki.

Watamkumbuka, watamlilia na watajutia matusi waliyomporomoshea Dk Wilbroad Slaa ambaye mpaka leo mimi namwamini, namkubali na ninamuunga mkono.

Tukubali tusikubali kesho Chadema itapigwa mweleka ambao haikuwahi kuufikiria.

Huna haja ya kuota, ni kesho tu
 
Kwa taarifa yako hata kama ukawa hawatashinda lakini watakuwa na nguvu kuliko tangu uchaguzi wa vyama vingi uanze hapa nchini sababu watapata wabunge wakutosha na pia kura za urais watapata nyingi sana kwa hiyo watakuwa na ruzuku ya kutosha kuendesha vyama vyao na hapo ndo wataimariki zaid.

kwa hiyo hizo ruzuku na wabunge watakuwa wa ukawa au ni wa chadema
 
Kweli wengine tuna akili "ndogo" UKAWA watakuwa na nguvu kubwa zaidi(!?) UKAWA wamesajiliwa wapi? Kwa sheria IPI. Mnisamehe, najiuliza NCCR mageuzi,CUF,NLD na CDM wataongeza % kila Chama? Tuombe uzima kesho so mbali,MUNGU akitupa Neema ya kufika kesho kutwa tutajua nani kafaidi kati ya ya ACT wazalendo kulinganisha na CUF,NCCR na NLD. Mbowe na Meku anajua faida ya hesabu za kujumlisha na kutoa.CDM ikibuma Mbowe hatalia,tusubiri Matokeo. Tusitukanane.
 
Tabia yakupiga domo ni mbaya mno..na mmbeya siku zote akikosa chakuongea ataanza kujisema mwenyewe tabia yake....NAONA UNAJITABIRIA CCM JINSI MTAKAVYO HAHA KUTAFUTA MCHAWI.
 
kabla hawajamkumbuka slaa na kumlilia kwa vyovyote vile wataanza kwanza kumkumbuka Zitto aliyekipigania chama kwa nguvu zake zote na kum-damp kama toilet paper. kwa kifupi hiyo chadema yenu ni utawala uliofitinika.

Naamini baada tu ya kutangazwa matokeo ya Rais na wabunge, na CCM kuibuka na ushindi wa 62% kwa nafasi za ubunge na urais kwa 70% Ukawa hawatakuwa tena na nafasi ya kufanya tathmini ya kushindwa kwao ila wataanza kunyukana kumtafuta mchawi wa kushindwa kwao.

Naamini pia huo ndio utakuwa mwisho wao kisiasa, na kama nilivyowahi kusema huko nyuma huo ndio utakuwa mwisho wa kitu kinachoitwa Chadema.

Mbowe atanyukwa, Tundu Lissu atasakamwa, Prof Safari, Baregu na Salum Mwalimu wataandamwa mpaka watimke.

Inatia huruma sana kwa Chadema iliyofikia hatua ya kuaminiwa na mamilioni ya watanzania kufa kifo cha kibudu na cha aibu kiasi hiki.

Watamkumbuka, watamlilia na watajutia matusi waliyomporomoshea Dk Wilbroad Slaa ambaye mpaka leo mimi namwamini, namkubali na ninamuunga mkono.

Tukubali tusikubali kesho Chadema itapigwa mweleka ambao haikuwahi kuufikiria.
 
mda huo umepita! tushamaamuzi! leo ni kuchinja tuu. wa Dr. wamechemka kuwashawishi wa Tz sembuse wewe? watu hawaelewi kitu wanamtaka lowassa, miezi miwili wameongeeeeaaaaa watu hawaelewi wanamtaka Lowassa tuuu. yani wanamkubali tuu! hawataki kula matapishi tena ya ccm, watu mabadilikooooooooo
 
Kwa taarifa yako hata kama ukawa hawatashinda lakini watakuwa na nguvu kuliko tangu uchaguzi wa vyama vingi uanze hapa nchini sababu watapata wabunge wakutosha na pia kura za urais watapata nyingi sana kwa hiyo watakuwa na ruzuku ya kutosha kuendesha vyama vyao na hapo ndo wataimariki zaid.

Uimara hautaletwa na pesa bali uongozi imara kama alivyokuwa Dr. Slaa. Cha msingi ni kisingi ya chama kwanza na wala sio pesa.
 
Back
Top Bottom