Baada ya tishio la kutekwa kusambaa mitandaoni: Mgombea ubunge wa CHADEMA, Jimbo la Ukonga, Msangi adai anapanga kwenda kutoa taarifa Polisi

Daimler

JF-Expert Member
Sep 11, 2018
556
973
IMG_8262.JPG

Hivi, mtu ukipata matishio ya kiusalama, utasubiri siku nyingine zipite mpaka unapata muda wa kwenda kwenye mikutano ya hadhara na ndipo unatangaza kuwa, kuna matishio dhidi yako na unapanga kwenda Polisi kutoa taarifa?

Je, watu wakisema kuwa, mmepanga mjiteke ili kupata huru a ya wapiga kuwa watakuwa wamekosea? Ama mmeona mtumie hiyo njia ili ionekane kama CCM inawaogopa sana? Hebu soma maneno haya chini:

IMG_8262.JPG


IMG_8262.JPG Tanzania Daima.
 
Si ndiye huyu ambaye Hussein Bashe aliomba Polisi kumpa ulinzi ili asije kutekwa? Mbona yeye hababaiki wala kujishughulisha kutoa taarifa kunakotakiwa, ila anaona alifikishe kwanza tishio hilo kwa wapiga kura?
 
kwa. mtazamo. wangu. polis. wangekuwa. wanafanya kazi. kwa weledi. walipaswa. kwends. mhoji. huyo. mgombea. kuhusu. usalama. wake. na hata kumwekea ulinzi kipindi hiki. usalama wa raia ni muhimu bila kujali vyama vyao.
 
kwa. mtazamo. wangu. polis. wangekuwa. wanafanya kazi. kwa weledi. walipaswa. kwends. mhoji. huyo. mgombea. kuhusu. usalama. wake. na hata kumwekea ulinzi kipindi hiki. usalama wa raia ni muhimu bila kujali vyama vyao.

Pole sana mkuu, mrudishie simu mwenyewe
 
kwa. mtazamo. wangu. polis. wangekuwa. wanafanya kazi. kwa weledi. walipaswa. kwends. mhoji. huyo. mgombea. kuhusu. usalama. wake. na hata kumwekea ulinzi kipindi hiki. usalama wa raia ni muhimu bila kujali vyama vyao.
Je, Polisi wanaweza kufanyia kazi mambo ya mitandaoni ya mtu binafsi?
 
Sasa nalo ni kosa?Id nyingi humu Jf za nini? Source :Tanzanite,jaaa mavi la habari.kweli kazi ipo!!!
 
kwa. mtazamo. wangu. polis. wangekuwa. wanafanya kazi. kwa weledi. walipaswa. kwends. mhoji. huyo. mgombea. kuhusu. usalama. wake. na hata kumwekea ulinzi kipindi hiki. usalama wa raia ni muhimu bila kujali vyama vyao.
Polisi hawawezi kwenda kumhoji bila yy kwenda kutoa taarifa
 
Back
Top Bottom