Huyo jamaa hajielewi kabisa. Anataka nafasi zote za kisiasa wawekwe waliosoma Political Science tuUtakuwa humjui Nikki mkuu.
Halafu alikwambia nani kusoma political science ndiyo kuwa kiongozi mzuri?
Mandela aliyesifika Sana Afrika alisoma sheria. Nyerere alikuwa Mwalimu.
Zuma hakusoma kabisa!