Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 7,416
- 18,856
Wakuu Habari zenu,
Wakuu naomba ushauri kwenye hili huyu mwanamke aliniambia ananipenda ila Mimi baada ya kupitiwa na fyekeo la wale darasa la saba huyu mwanamke niliokuwa nae kwenye mahusiano ghafla hakawa hapokei simu zangu walakunijibu sms zangu na nilivyokuja kucheki whatsapp alikuwa kaniblock kwenye namba zangu zote
Baada ya me kuona hivyo,nikaona isiweshida nikampotezea nikapata mwingine mwenye kunipenda kwa dhati ki hivyo hivyo maisha yanaenda.
Nashangaa Leo asubuhi kadamkia Saa kumi na mbili kamili kunisalimia.
ananipigia simu sijapokea na saizi tena kapiga sijapokea .
Ameninitumia massage nyingi moja wapo anasema ananisalimia tu na amenimis niko wapi saizi tuonane .
Nipo najifikia hapa nimfanyie nini ilinimkomeshe iliajeasimulie kwa wengine.maana me sio mjinga kiasi hicho .
Hapa nawaza twende out halafu nitoloke nimwachie msala wa bill kulipia yaani niagize vitu vya gharama .
Halafu natokomea kusikojulikana Baada ya hapo naliblock kwenye simu au nimkomeshe na kipi?
Au nimpakazie kesi ya wizi ni muweke ndani kwanza hata siku mbili tu?
iliiwefunzo kwa wengine walionatabia kama hiyo? Iliwasirudi tena hizo tabia kama umeamua kunitosa nitose kimoja sio unaangaika na hela zangu.
Nawasilisha.
Wakuu naomba ushauri kwenye hili huyu mwanamke aliniambia ananipenda ila Mimi baada ya kupitiwa na fyekeo la wale darasa la saba huyu mwanamke niliokuwa nae kwenye mahusiano ghafla hakawa hapokei simu zangu walakunijibu sms zangu na nilivyokuja kucheki whatsapp alikuwa kaniblock kwenye namba zangu zote
Baada ya me kuona hivyo,nikaona isiweshida nikampotezea nikapata mwingine mwenye kunipenda kwa dhati ki hivyo hivyo maisha yanaenda.
Nashangaa Leo asubuhi kadamkia Saa kumi na mbili kamili kunisalimia.
ananipigia simu sijapokea na saizi tena kapiga sijapokea .
Ameninitumia massage nyingi moja wapo anasema ananisalimia tu na amenimis niko wapi saizi tuonane .
Nipo najifikia hapa nimfanyie nini ilinimkomeshe iliajeasimulie kwa wengine.maana me sio mjinga kiasi hicho .
Hapa nawaza twende out halafu nitoloke nimwachie msala wa bill kulipia yaani niagize vitu vya gharama .
Halafu natokomea kusikojulikana Baada ya hapo naliblock kwenye simu au nimkomeshe na kipi?
Au nimpakazie kesi ya wizi ni muweke ndani kwanza hata siku mbili tu?
iliiwefunzo kwa wengine walionatabia kama hiyo? Iliwasirudi tena hizo tabia kama umeamua kunitosa nitose kimoja sio unaangaika na hela zangu.
Nawasilisha.