Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Wapigakura wengi waliompigia kura Dr. Slaa wamefurahishwa na hatua ya utulivu wa Raisi wetu Mtarajiwa ambaye JK ametumia mabavu ya dola kujisimika madarakani kwa minajili ya udikteta..........
Lakini wapigakura hao sasa wana kiu ya kuelewa ushahidi wa Chadema wa ni nani aliyeshinda kinyang'anyiro cha uraisi kwa sababu takwimu za NEC wanaamini ni matunda ya kuchakachua na wala hata hawazifuatilii hata kidogo...........
Zipo jitihada za watu wasiofahamika malengo yao nini ambao tayari wameanza kutuma sms za uchochezi za kuhamasisha uvunjajii wa amani kwa kudai maandamano ya amani ya kupinga matokeo lakini swali la kujiuliza unapopinga kitu lazima uwe unacho chako mkononi cha kulinganishia vinginevyo utakuwa unatwanga maji kwenye kinu..............
Hili sasa ndilo shinikizo la wapigakura kwa Chadema toeni takwimu zenu ili tutafakari hatua bora za kufanya kuhakikisha haki inatendeka....................
Sisi siyo nyumbu wa kupelekeshwa bila maandalizi ya kutosha............
Lakini wapigakura hao sasa wana kiu ya kuelewa ushahidi wa Chadema wa ni nani aliyeshinda kinyang'anyiro cha uraisi kwa sababu takwimu za NEC wanaamini ni matunda ya kuchakachua na wala hata hawazifuatilii hata kidogo...........
Zipo jitihada za watu wasiofahamika malengo yao nini ambao tayari wameanza kutuma sms za uchochezi za kuhamasisha uvunjajii wa amani kwa kudai maandamano ya amani ya kupinga matokeo lakini swali la kujiuliza unapopinga kitu lazima uwe unacho chako mkononi cha kulinganishia vinginevyo utakuwa unatwanga maji kwenye kinu..............
Hili sasa ndilo shinikizo la wapigakura kwa Chadema toeni takwimu zenu ili tutafakari hatua bora za kufanya kuhakikisha haki inatendeka....................
Sisi siyo nyumbu wa kupelekeshwa bila maandalizi ya kutosha............