Elections 2010 Baada ya tamko zito la Dr. Slaa, Chadema sasa yatakiwa kutoa takwimu zao za Urais...

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,468
911,172
Wapigakura wengi waliompigia kura Dr. Slaa wamefurahishwa na hatua ya utulivu wa Raisi wetu Mtarajiwa ambaye JK ametumia mabavu ya dola kujisimika madarakani kwa minajili ya udikteta..........

Lakini wapigakura hao sasa wana kiu ya kuelewa ushahidi wa Chadema wa ni nani aliyeshinda kinyang'anyiro cha uraisi kwa sababu takwimu za NEC wanaamini ni matunda ya kuchakachua na wala hata hawazifuatilii hata kidogo...........

Zipo jitihada za watu wasiofahamika malengo yao nini ambao tayari wameanza kutuma sms za uchochezi za kuhamasisha uvunjajii wa amani kwa kudai maandamano ya amani ya kupinga matokeo lakini swali la kujiuliza unapopinga kitu lazima uwe unacho chako mkononi cha kulinganishia vinginevyo utakuwa unatwanga maji kwenye kinu..............

Hili sasa ndilo shinikizo la wapigakura kwa Chadema toeni takwimu zenu ili tutafakari hatua bora za kufanya kuhakikisha haki inatendeka....................

Sisi siyo nyumbu wa kupelekeshwa bila maandalizi ya kutosha............
 
Ruta na ukweli kabisa nasikiliza taarifa ya habari hapa Dr anatoa tamko kali na kaja na kila aina ya uthibitisho wa kudhihirisha matokeo yanayotangazwa na Nec hayana uhalisia....... inaniuma sana mtu anavyotaka kuingia madarakani kwa mabavu ilihali anatambua fika kabisa ya kuwa watu hawamhitaji tena,
INAUMA MNOO, ni ngumu kuvumilia hali kama hii
 
Wapigakura wengi waliompigia kura Dr. Slaa wamefurahishwa na hatua ya utulivu wa Raisi wetu Mtarajiwa ambaye JK ametumia mabavu ya dola kujisimika madarakani kwa minajili ya udikteta..........

Lakini wapigakura hao sasa wana kiu ya kuelewa ushahidi wa Chadema wa ni nani aliyeshinda kinyang'anyiro cha uraisi kwa sababu takwimu za NEC wanaamini ni matunda ya kuchakachua na wala hata hawazifuatilii hata kidogo...........

Zipo jitihada za watu wasiofahamika malengo yao nini ambao tayari wameanza kutuma sms za uchochezi za kuhamasisha uvunjajii wa amani kwa kudai maandamano ya kupinga matokeo ya amani lakini swali la kujiuliza unapopinga kitu lazima uwe unacho chako mkononi cha kulinganishia vinginevyo utakuwa unatwanga maji kwenye kinu..............

Hili sasa ndilo shinikizo la wapigakura kwa Chadema toeni takwimu zenu ili tutafakari hatua bora za kufanya kuhakikisha haki inatendeka....................

Sisi siyo nyumbu wa kupelekeshwa bila maandalizi ya kutosha............
This one, coming from a seemingly die-hard CHADEMA follower, shows the highest level of maturity. Kudos!
Kwa sisi wengine wote ambao ni wafuasi wa Dr Slaa (sijasema Chadema kwa vile najua wapo CCM wengi tu ambao ni wafuasi wakubwa wa Dr Slaa) nashauri tuiunge mkono approach hii kwa nguvu zetu zote.
Embu tusaidiane kupata ushahidi wa rigging!
 
This one, coming from a seemingly die-hard CHADEMA follower, shows the highest level of maturity. Kudos!
Kwa sisi wengine wote ambao ni wafuasi wa Dr Slaa (sijasema Chadema kwa vile najua wapo CCM wengi tu ambao ni wafuasi wakubwa wa Dr Slaa) nashauri tuiunge mkono approach hii kwa nguvu zetu zote.
Embu tusaidiane kupata ushahidi wa rigging!

Naunga mkono ila nadhani uliopo kwa Dr Slaa unatosha kwa vile ni 'documentary' - yaani, ule amabao kila wakala alisaini kuwa anaafiki kura za huyu ni hizi na za yule ni zile. Tusubiri huo ushauri ufike mahali husika ila sisi wote tutulie na tulinde amani amani wakati wote whether kutapatikana mwafaka au kukosekana. Mimi ni mdau wa non-violence approach - peace building!
 
Askari tupo nyuma ya DR wa ukweli tunamsikiliza hatuwezi buruzwa kijinga jinga
 
Savimbi aliipeleka Angola vitani kwa miaka zaidi 25, Maalifu Seif aliipeleka Zanzibar kutotulia kwa miongo fulani... sasa Mh. Dr. Slaa ana lake pia. Mwenyezi Mungu tulinde katika hili.


Kwa katiba matokeo ya Urais tu ndio hayawezi ku-be-challenged mahakamani in case tume ikiyatangaza... sasa haya ya Mpendazoe mbona ngoma Rahisi sana kwa nini Dr. Slaa wasiende huko mahakamani?
 
Pamoja tunawakilisha

Kumetolewa hoja kuwa ili kutokupingana na katiba yetu ya sasa kuwa Rais akishatangazwa hakuna mamlaka inayoweza kubatilisha, naona ni bora kusimamisha utangazi wa matokeo unaofanywa ili kuziba mianya ya kuletewa Dikteta Sultani
 
Savimbi aliipeleka Angola vitani kwa miaka zaidi 25, Maalifu Seif aliipeleka Zanzibar kutotulia kwa miongo fulani... sasa Mh. Dr. Slaa ana lake pia. Mwenyezi Mungu tulinde katika hili.


Kwa katiba matokeo ya Urais tu ndio hayawezi ku-be-challenged mahakamani in case tume ikiyatangaza... sasa haya ya Mpendazoe mbona ngoma Rahisi sana kwa nini Dr. Slaa wasiende huko mahakamani?

Hujaacha bado kutumia makalio kufikiri?
 
nina taarifa za karibu,jumla ya kura za ubunge na uraisi kwa bukoba mjini zina tofauti ya elfu ishirini.

sasa sijui hizo elfu ishirini kwenye ubunge zimeharibika au Vipi?

na sehemu nyingi pia jamaa data wanazo
 
Wapigakura wengi waliompigia kura Dr. Slaa wamefurahishwa na hatua ya utulivu wa Raisi wetu Mtarajiwa ambaye JK ametumia mabavu ya dola kujisimika madarakani kwa minajili ya udikteta..........

Lakini wapigakura hao sasa wana kiu ya kuelewa ushahidi wa Chadema wa ni nani aliyeshinda kinyang'anyiro cha uraisi kwa sababu takwimu za NEC wanaamini ni matunda ya kuchakachua na wala hata hawazifuatilii hata kidogo...........

Zipo jitihada za watu wasiofahamika malengo yao nini ambao tayari wameanza kutuma sms za uchochezi za kuhamasisha uvunjajii wa amani kwa kudai maandamano ya amani ya kupinga matokeo lakini swali la kujiuliza unapopinga kitu lazima uwe unacho chako mkononi cha kulinganishia vinginevyo utakuwa unatwanga maji kwenye kinu..............

Hili sasa ndilo shinikizo la wapigakura kwa Chadema toeni takwimu zenu ili tutafakari hatua bora za kufanya kuhakikisha haki inatendeka....................

Sisi siyo nyumbu wa kupelekeshwa bila maandalizi ya kutosha............

Hatua bora ni kuishinikiza tume isitishe matangazo ya kupika .tumechoka na dhuluma kwa kusingizio cha amani
 
Yes we can! This time tunapinga matokeo kisayansi!
Kwanza ushahidi wote ukusanywe simu, matokeo halali vituoni, mikakati haramu ya uchakachuaji. Tuwapelekee wahisani wote duniani kwanza tumzuie asiendeleze utembezaji bakuli kama kawaida yake. Pili tuwashitaki kwa wananchi!
 
Sureyes we can kupinga tu hata mimi Simkubali kutawaliwa na dikteta uchaguzi kiasi kidogo sana umekuwa wa haki lakini tume hakuna haki record ya kuchelewa kutoa matokeo ipo india tu sababu ina idadi kubwa ya watu Tume gani mgombea anakutwa na masanduku ya kupiga kura then anatangazwa kashinda kha udhalimu ndio utawala wa sheria huu. (Nyerere alisema kwa mujibu wa sheria za dikteta) Me nadhani wakimaliza utawala wao 2015 bora wakimbie mbali sana tena na familia zao ila tutawakamata tu mla huliwa na sie tutakuja kumla tu jamaa jinsi alivyo hata ujumbe wa nyumba kumi hauwezi sasa nchi inayumba kodi zetu na pesa za uomba omba anaotumia jina letu anazifanya kama akauti zake kufanyia udhalimu.. Nikipata nauli nitaenda kumpasha
 
Savimbi aliipeleka Angola vitani kwa miaka zaidi 25, Maalifu Seif aliipeleka Zanzibar kutotulia kwa miongo fulani... sasa Mh. Dr. Slaa ana lake pia. Mwenyezi Mungu tulinde katika hili.


Kwa katiba matokeo ya Urais tu ndio hayawezi ku-be-challenged mahakamani in case tume ikiyatangaza... sasa haya ya Mpendazoe mbona ngoma Rahisi sana kwa nini Dr. Slaa wasiende huko mahakamani?

sio pumba hii mazee?? heh!!
 
Sureyes we can kupinga tu hata mimi Simkubali kutawaliwa na dikteta uchaguzi kiasi kidogo sana umekuwa wa haki lakini tume hakuna haki record ya kuchelewa kutoa matokeo ipo india tu sababu ina idadi kubwa ya watu Tume gani mgombea anakutwa na masanduku ya kupiga kura then anatangazwa kashinda kha udhalimu ndio utawala wa sheria huu. (Nyerere alisema kwa mujibu wa sheria za dikteta) Me nadhani wakimaliza utawala wao 2015 bora wakimbie mbali sana tena na familia zao ila tutawakamata tu mla huliwa na sie tutakuja kumla tu jamaa jinsi alivyo hata ujumbe wa nyumba kumi hauwezi sasa nchi inayumba kodi zetu na pesa za uomba omba anaotumia jina letu anazifanya kama akauti zake kufanyia udhalimu.. Nikipata nauli nitaenda kumpasha

tuko pamoja
 
Savimbi aliipeleka Angola vitani kwa miaka zaidi 25, Maalifu Seif aliipeleka Zanzibar kutotulia kwa miongo fulani... sasa Mh. Dr. Slaa ana lake pia. Mwenyezi Mungu tulinde katika hili.

Kwa katiba matokeo ya Urais tu ndio hayawezi ku-be-challenged mahakamani in case tume ikiyatangaza... sasa haya ya Mpendazoe mbona ngoma Rahisi sana kwa nini Dr. Slaa wasiende huko mahakamani?
"Ukikuta mahali mawazo ya vijana na wazee yanafanana, ujue hapo pamedumaa" - J. S. Warioba
 
Savimbi aliipeleka Angola vitani kwa miaka zaidi 25, Maalifu Seif aliipeleka Zanzibar kutotulia kwa miongo fulani... sasa Mh. Dr. Slaa ana lake pia. Mwenyezi Mungu tulinde katika hili.


Kwa katiba matokeo ya Urais tu ndio hayawezi ku-be-challenged mahakamani in case tume ikiyatangaza... sasa haya ya Mpendazoe mbona ngoma Rahisi sana kwa nini Dr. Slaa wasiende huko mahakamani?
Ni Slaa au Mkwere ndo mwenye lake jambo??? We vipi wewe!!!!
 
Wapigakura wengi waliompigia kura Dr. Slaa wamefurahishwa na hatua ya utulivu wa Raisi wetu Mtarajiwa ambaye JK ametumia mabavu ya dola kujisimika madarakani kwa minajili ya udikteta..........

Lakini wapigakura hao sasa wana kiu ya kuelewa ushahidi wa Chadema wa ni nani aliyeshinda kinyang'anyiro cha uraisi kwa sababu takwimu za NEC wanaamini ni matunda ya kuchakachua na wala hata hawazifuatilii hata kidogo...........

Zipo jitihada za watu wasiofahamika malengo yao nini ambao tayari wameanza kutuma sms za uchochezi za kuhamasisha uvunjajii wa amani kwa kudai maandamano ya amani ya kupinga matokeo lakini swali la kujiuliza unapopinga kitu lazima uwe unacho chako mkononi cha kulinganishia vinginevyo utakuwa unatwanga maji kwenye kinu..............

Hili sasa ndilo shinikizo la wapigakura kwa Chadema toeni takwimu zenu ili tutafakari hatua bora za kufanya kuhakikisha haki inatendeka....................

Sisi siyo nyumbu wa kupelekeshwa bila maandalizi ya kutosha............

Hapo naungana na wewe, naomba takwimu zichapishwe hata kwenye gazeti moja wapo itolewe kama toleo maalumu liwe limeambatanishwa.
 
Tupo pamoja, tume iache kabisa kutangaza matokeo pumba! Ushahidi wote wa mawakala vituo vyote ukusanywe, INTERNATIONAL COMMUNITY FRATENITY ijulishwe huo ukola wa hawa jamaa, ili waaibike na dhuluma zao.
Wasipewe respect tena ya kuwa wazungumzaji wa democracy duniani, ijulikane kuwa ni serikali ya KIDECTATOR. Maana kuwazuia muda huu wasitawale ningumu. Maandalizi na mikakati bora ya kuwa na utawala madhubuti wa kidemocrasia ianze sasa.
The best way to have a good idea is to have lots of ideas. Linus Pauling.
 
Back
Top Bottom