Baada ya Sudan ya Kusini sasa ni Tanzania ya Kusini

Watu wa kusini inawapasa kujilaumu nyie wenyewe kwa kutokuwa sharp na kuchangamkia fursa zinazopatikana nchini kuanzia mikoani kwenu mpaka tanzania nszima. Wakati vijana kutoka mikoa ya kusini(wamachinga) wakijazana jijini Dasr es salaam na kufanya biashara ya uchuuzi wakiweka pembeni suala zima shule.

Suala la miundombinu mibovu hiyo inatokanna nan nyie wenyewe kuridhika na hali hiyo mkiamini kuwa hiyo ndiyo stahili yenu mkiwaacha wenzenu wa mikoa minginwe wakipigia kelele balabala za lami za kata.

ACHENI UMWINYI, WEKEZENI KATIKA ELIMU MTAONA MABADILIKO

Mlibahatika kutoa kiongozi wa nchi pamoja na waziri wa miundombinu, mbon\a hawa watu wenu mlishindwa kuwaweka chini na kuongea nao juu ya matatizo yenu. Unafikiri nini kingetokea endapo kiongozi mkuu wa nchi angetokea mikoa ya Kagera, Kilimanjaro au Mbeya? Bilashaka visingizio vingekuwa vingi.

Kwa msingi huu lazima ufahamu kuwa serikali kama serikali haitakuletea maendeleo endelevu ili hali wewe ukijiklita kwenye biashara ya min'goko na kui`pa kisogo elimu.

Tembelea miji ya kilwa, lindi mjini, masasi. mtwara, nachimngwea na miji mingine kadhaa ya huko kusini utaoa namna ambavo wageni kutoka mikoa mballimbali wanavochangamkia fursa zipatikanazo kusini huku wenyeji wakitumbua macho kwa mshangao.

Fanya utafiti, tafuta watu wa mikoa ya kusini ambao wamewekeza nje ya mikoa yao ni wangapi bilashaka ni idadi ndogo sana kulinganisha wageni wanaofuata fursa na ajira mikoa ya kusini.

Wengi wa watu wa kusini hatupendi kuwekeza kwetu, Mtu akishajenga nyumba yake Mbagala basi hutomwona tena akirudi Lindi, Mtwara au Tunduru labda aitiwe msiba wa mzazi wake au unyago. Kama si hivo yawezekana asirudi kamwe au atarudi baada ya miaka 6 hadi 10.

Suala la kujitenga halina mantiki endapo watu hawajitambui au kufahamu wajibu wao. Hata mkiachiwa hiyo gesi bado haitakuwa mkiombozi ilhali akili bado haija 'jitune' sawasawa.

Rais wa awamu ilyopita alitoka kwenu, Rais wa sasa ni shemeji yenu, ok, mnachekelea kwa hilo lakini kaa mjue kuwa maendeleo yenu mmeyakalia nyie wenyewe hao hawana mchango mkubwa saaana kama wao.

Suala la kushuka kwa korosho ktk soko la dunia kwa nini tuilaumu serikali yetu ya kibongo? Nikawaida ssana kwa trendi ya soko ku-fructuate kwa mazao na bidhaa zote.

mzee wa inshu uko sawa kabisa
 
Back
Top Bottom