Baada ya Sudan ya Kusini sasa ni Tanzania ya Kusini

Ligogoma

JF-Expert Member
Aug 27, 2010
3,503
6,374
Happy Valentine wana JF!!

Tuzungumze ukweli kabisa, Tanzania ya Kusini (Lindi, Mtwara, Ruvuma na baadhi ya mikoa ya Pwani) sehemu ambayo imesahaulika sana hapa nchini!! Kwa wale waliofika maeneo hayo watakubaliana nami.

Kwanza hawana vyanzo vya uhakika vya mapato na mazao waliyokuwa wanategemea yameporomoka vibaya sana thamani yake soko la dunia, especially korosho!

Miundo mbinu kiukweli hatuwezi kucompare na mikoa ya kaskazini mfano barabara ya kwenda huko mpaka leo haijakamilika na ni takriban miaka kumi sasa tangu ianze kujengwa na haijakamilika bado!! Barabara gani (Urefu usiozidi 600 km) katika nyanda nyingine iliwahi kujengwa kwa miaka kumi. Ukija kwenye street roads ndiyo balaa kabisa achilia mbali hizo stand kuu zilivyo!!

Wana bandari nzuri saaana but wakitaka kuagiza bidhaa kwenda na kutoka nje ya nchi mpaka Dar, bandari za Lindi na Mtwara za kazi gani?

Umeme mpaka leo hawamo kwenye grid ya taifa, wanategemea vyanzo vidogo vidogo vya umeme!! Hata hivyo sehemu kubwa ya maeneo haya hayana umeme kabisa.

Gesi imesafirishwa kutoka Mtwara mpaka Dar kwa njia ya pipe, why?

Hakuna viwanja vya ndege vya maana, vipi Lindi au Nchingwea vyote vidogo sana na hakuna upanuzi wa kiwanja chochote kanda hiyo.

Train, loh! Don`t talk about it hakuna hata reli ila ilikuwapo enzi za ukoloni wakang`oa!

Kuna kila sababu ya kuanzisha vuguvugu la kujitoa katika hii nchi ya Tanzania na kuunda taifa jipya la Tanzania ya Kusini.
 
Hayo tumeyasikia; kwa kuongezea,wamechangia marais 3 kati ya marais wanne waliowahi kuikwea nafasi hiyo hadi sasa; wamepewa heshima ya kuongoza idara ya usalama wa taifa kwa mda mrefu; mzee Kawawa ambaye anatokea huko ndiye aliyekuwa mtendaji mkuu serikalini kwa mda mrefu n.k. Hayo ni baabhi tu ya mambo yanayothibitisha kuwa eneo hilo la kusini halijatengwa, vinginevyo lisingelipewa heshima hizo zote.
 
Kwa kweli mi siungi mkono kuhusu wazo hilo kwani tatizo lipo kwa viongozi wao ni wabinafsi na hawajengi kwao, hivi kama kiongozi mkubwa anaenda kujenga tanga we unafikiri atashawishi vip barabara bora au train iende kwao wakati tayari kaonesha ubinafsi wa kukaa na nduguze
 
happy valentine wana jf!!

Tuzungumze ukweli kabisa, tanzania ya kusini (lindi, mtwara, ruvuma na baadhi ya mikoa ya pwani) sehemu ambayo imesahaulika sana hapa nchini!! Kwa wale waliofika maeneo hayo watakubaliana nami.

Kwanza hawana vyanzo vya uhakika vya mapato na mazao waliyokuwa wanategemea yameporomoka vibaya sana thamani yake soko la dunia, especially korosho!

Miundo mbinu kiukweli hatuwezi kucompare na mikoa ya kaskazini mfano barabara ya kwenda huko mpaka leo haijakamilika na ni takriban miaka kumi sasa tangu ianze kujengwa na haijakamilika bado!! Barabara gani (urefu usiozidi 600 km) katika nyanda nyingine iliwahi kujengwa kwa miaka kumi. Ukija kwenye street roads ndiyo balaa kabisa achilia mbali hizo stand kuu zilivyo!!

Wana bandari nzuri saaana but wakitaka kuagiza bidhaa kwenda na kutoka nje ya nchi mpaka dar, bandari za lindi na mtwara za kazi gani?

Umeme mpaka leo hawamo kwenye grid ya taifa, wanategemea vyanzo vidogo vidogo vya umeme!! Hata hivyo sehemu kubwa ya maeneo haya hayana umeme kabisa.

Gesi imesafirishwa kutoka mtwara mpaka dar kwa njia ya pipe, why?

Hakuna viwanja vya ndege vya maana, vipi lindi au nchingwea vyote vidogo sana na hakuna upanuzi wa kiwanja chochote kanda hiyo.

Train, loh! Don`t talk about it hakuna hata reli ila ilikuwapo enzi za ukoloni wakang`oa!

Kuna kila sababu ya kuanzisha vuguvugu la kujitoa katika hii nchi ya tanzania na kuunda taifa jipya la tanzania ya kusini.


tukishajitenga makao makuu yawe rutamba!!!
 
Happy Valentine wana JF!!

Tuzungumze ukweli kabisa, Sehemu kadhaa za Dar es Salaam (Goba, Gezaulole, Makongo, Ubungo Kibangu, Msewe, Makuburi) ni sehemu ambayo imesahaulika sana hapa Dar!! Kwa wale waliofika maeneo hayo watakubaliana nami.

Miundo mbinu kiukweli hatuwezi kucompare na zinginge za Dar mfano hamna barabara ya kwenda huko mpaka leo ... Ukija kwenye street roads ndiyo balaa kabisa .....!!

...... nk, nk.

Kuna kila sababu ya kuanzisha vuguvugu la kujitoa katika huu mji wa Dar na kuunda jiji jipya la Dar ya Wachovu.
 
Happy Valentine wana JF!!

Tuzungumze ukweli kabisa, Sehemu kadhaa za Dar es Salaam (Goba, Gezaulole, Makongo, Ubungo Kibangu, Msewe, Makuburi) ni sehemu ambayo imesahaulika sana hapa Dar!! Kwa wale waliofika maeneo hayo watakubaliana nami.

Miundo mbinu kiukweli hatuwezi kucompare na zinginge za Dar mfano hamna barabara ya kwenda huko mpaka leo ... Ukija kwenye street roads ndiyo balaa kabisa .....!!

...... nk, nk.

Kuna kila sababu ya kuanzisha vuguvugu la kujitoa katika huu mji wa Dar na kuunda jiji jipya la Dar ya Wachovu.

ha ha hahahaha..oooh weeee
 
Happy Valentine wana JF!!

Tuzungumze ukweli kabisa, Sehemu kadhaa za Dar es Salaam (Goba, Gezaulole, Makongo, Ubungo Kibangu, Msewe, Makuburi) ni sehemu ambayo imesahaulika sana hapa Dar!! Kwa wale waliofika maeneo hayo watakubaliana nami.

Miundo mbinu kiukweli hatuwezi kucompare na zinginge za Dar mfano hamna barabara ya kwenda huko mpaka leo ... Ukija kwenye street roads ndiyo balaa kabisa .....!!

...... nk, nk.

Kuna kila sababu ya kuanzisha vuguvugu la kujitoa katika huu mji wa Dar na kuunda jiji jipya la Dar ya Wachovu.

Nadhani aloanzisha hii thread alikuwa hajua anachoongea, afadhali umemjibu :twitch::twitch::twitch:
 
Kuitegemea na Kujitenga ni vitu viwili tofauti.

si lazima kujitenga ili ujitegemee.
Unaweza kujitegemea bila kujitenga, pia unaweza ukajitenga na usijitegemee.
 
ewaaa sasa hapa tupo pamoja si kujitenga bali sera za chama changu tukufu CHADEMA za MAJIMBO, hilo ndo suluhisho maana kila jimbo litakuwa na mamlaka na uwezo wa kutumia rasilimali zake ipasavyo kuliko sasa ambako kila kitu mpaka kifikishwe dar halafu mgawanyo uwe sawasawa hata km mnazalisha au rasilimali zinatofautiana.
 
wa kusema kijana juzi siyo tu mikoa ya kusini ipo mikoa mingi yenye shida kama hizo na wameisha sema mpaka wamechoka na sasa wameamua kukaa kimya kabisaaaa kwa hiyo jaribu kufanya utafiti utagundua mambo mengi sana
 
Dah mbona Shinyanga, Kagera, Tabora na Singida nako hali ni mbaya?? na wao wajitenge au??

mikoa ilioendela ni ile iliyokuwa wakati wa ukoloni strategically, na serikali yetu haijafanya mabadilio yoyote kuleta usawa kwenye mikoa yake.
 
Watu wa kusini inawapasa kujilaumu nyie wenyewe kwa kutokuwa sharp na kuchangamkia fursa zinazopatikana nchini kuanzia mikoani kwenu mpaka tanzania nszima. Wakati vijana kutoka mikoa ya kusini(wamachinga) wakijazana jijini Dasr es salaam na kufanya biashara ya uchuuzi wakiweka pembeni suala zima shule.

Suala la miundombinu mibovu hiyo inatokanna nan nyie wenyewe kuridhika na hali hiyo mkiamini kuwa hiyo ndiyo stahili yenu mkiwaacha wenzenu wa mikoa minginwe wakipigia kelele balabala za lami za kata.

ACHENI UMWINYI, WEKEZENI KATIKA ELIMU MTAONA MABADILIKO

Mlibahatika kutoa kiongozi wa nchi pamoja na waziri wa miundombinu, mbon\a hawa watu wenu mlishindwa kuwaweka chini na kuongea nao juu ya matatizo yenu. Unafikiri nini kingetokea endapo kiongozi mkuu wa nchi angetokea mikoa ya Kagera, Kilimanjaro au Mbeya? Bilashaka visingizio vingekuwa vingi.

Kwa msingi huu lazima ufahamu kuwa serikali kama serikali haitakuletea maendeleo endelevu ili hali wewe ukijiklita kwenye biashara ya min'goko na kui`pa kisogo elimu.

Tembelea miji ya kilwa, lindi mjini, masasi. mtwara, nachimngwea na miji mingine kadhaa ya huko kusini utaoa namna ambavo wageni kutoka mikoa mballimbali wanavochangamkia fursa zipatikanazo kusini huku wenyeji wakitumbua macho kwa mshangao.

Fanya utafiti, tafuta watu wa mikoa ya kusini ambao wamewekeza nje ya mikoa yao ni wangapi bilashaka ni idadi ndogo sana kulinganisha wageni wanaofuata fursa na ajira mikoa ya kusini.

Wengi wa watu wa kusini hatupendi kuwekeza kwetu, Mtu akishajenga nyumba yake Mbagala basi hutomwona tena akirudi Lindi, Mtwara au Tunduru labda aitiwe msiba wa mzazi wake au unyago. Kama si hivo yawezekana asirudi kamwe au atarudi baada ya miaka 6 hadi 10.

Suala la kujitenga halina mantiki endapo watu hawajitambui au kufahamu wajibu wao. Hata mkiachiwa hiyo gesi bado haitakuwa mkiombozi ilhali akili bado haija 'jitune' sawasawa.

Rais wa awamu ilyopita alitoka kwenu, Rais wa sasa ni shemeji yenu, ok, mnachekelea kwa hilo lakini kaa mjue kuwa maendeleo yenu mmeyakalia nyie wenyewe hao hawana mchango mkubwa saaana kama wao.

Suala la kushuka kwa korosho ktk soko la dunia kwa nini tuilaumu serikali yetu ya kibongo? Nikawaida ssana kwa trendi ya soko ku-fructuate kwa mazao na bidhaa zote.
 
Hivi wewe umeshawahi kufika Kigoma? kwanza hakuna barabara ya uhakika inayounganisha mkoa wa kigoma na mikoa mingine,
Haijaunganishwa na grid ya taifa ya umeme, ingawa wana ziwa tanganyika pale mjini penyewe maji ni ya mgawo umeme wala usiseme, wanawashangaa nyie mnavyosema umeme ni janga la kitaifa.
Hata mkoa wa tabora ndo yale yale tu miundombinu mibovu pamoja na huduma mbalimbali,

Kama alivyosema mjumbe mmoja aliyetangulia ni bora ya kunyamaza tu kama huelewi, Tanzania bara ni kubwa sana na sehemu kubwa hakuna maendeleo, Wenzetu tu wa kaskazini ndo walipata bahati hiyo.
 
Happy Valentine wana JF!!

Tuzungumze ukweli kabisa, Tanzania ya Kusini (Lindi, Mtwara, Ruvuma na baadhi ya mikoa ya Pwani) sehemu ambayo imesahaulika sana hapa nchini!! Kwa wale waliofika maeneo hayo watakubaliana nami.

Kwanza hawana vyanzo vya uhakika vya mapato na mazao waliyokuwa wanategemea yameporomoka vibaya sana thamani yake soko la dunia, especially korosho!

Miundo mbinu kiukweli hatuwezi kucompare na mikoa ya kaskazini mfano barabara ya kwenda huko mpaka leo haijakamilika na ni takriban miaka kumi sasa tangu ianze kujengwa na haijakamilika bado!! Barabara gani (Urefu usiozidi 600 km) katika nyanda nyingine iliwahi kujengwa kwa miaka kumi. Ukija kwenye street roads ndiyo balaa kabisa achilia mbali hizo stand kuu zilivyo!!

Wana bandari nzuri saaana but wakitaka kuagiza bidhaa kwenda na kutoka nje ya nchi mpaka Dar, bandari za Lindi na Mtwara za kazi gani?

Umeme mpaka leo hawamo kwenye grid ya taifa, wanategemea vyanzo vidogo vidogo vya umeme!! Hata hivyo sehemu kubwa ya maeneo haya hayana umeme kabisa.

Gesi imesafirishwa kutoka Mtwara mpaka Dar kwa njia ya pipe, why?

Hakuna viwanja vya ndege vya maana, vipi Lindi au Nchingwea vyote vidogo sana na hakuna upanuzi wa kiwanja chochote kanda hiyo.

Train, loh! Don`t talk about it hakuna hata reli ila ilikuwapo enzi za ukoloni wakang`oa!

Kuna kila sababu ya kuanzisha vuguvugu la kujitoa katika hii nchi ya Tanzania na kuunda taifa jipya la Tanzania ya Kusini.

una wapepo. wenzin mbona wanajikali mbeyi beach kweny majumba yashyoamilhka bure na hawana shida!?
 
Back
Top Bottom