Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,374
Happy Valentine wana JF!!
Tuzungumze ukweli kabisa, Tanzania ya Kusini (Lindi, Mtwara, Ruvuma na baadhi ya mikoa ya Pwani) sehemu ambayo imesahaulika sana hapa nchini!! Kwa wale waliofika maeneo hayo watakubaliana nami.
Kwanza hawana vyanzo vya uhakika vya mapato na mazao waliyokuwa wanategemea yameporomoka vibaya sana thamani yake soko la dunia, especially korosho!
Miundo mbinu kiukweli hatuwezi kucompare na mikoa ya kaskazini mfano barabara ya kwenda huko mpaka leo haijakamilika na ni takriban miaka kumi sasa tangu ianze kujengwa na haijakamilika bado!! Barabara gani (Urefu usiozidi 600 km) katika nyanda nyingine iliwahi kujengwa kwa miaka kumi. Ukija kwenye street roads ndiyo balaa kabisa achilia mbali hizo stand kuu zilivyo!!
Wana bandari nzuri saaana but wakitaka kuagiza bidhaa kwenda na kutoka nje ya nchi mpaka Dar, bandari za Lindi na Mtwara za kazi gani?
Umeme mpaka leo hawamo kwenye grid ya taifa, wanategemea vyanzo vidogo vidogo vya umeme!! Hata hivyo sehemu kubwa ya maeneo haya hayana umeme kabisa.
Gesi imesafirishwa kutoka Mtwara mpaka Dar kwa njia ya pipe, why?
Hakuna viwanja vya ndege vya maana, vipi Lindi au Nchingwea vyote vidogo sana na hakuna upanuzi wa kiwanja chochote kanda hiyo.
Train, loh! Don`t talk about it hakuna hata reli ila ilikuwapo enzi za ukoloni wakang`oa!
Kuna kila sababu ya kuanzisha vuguvugu la kujitoa katika hii nchi ya Tanzania na kuunda taifa jipya la Tanzania ya Kusini.
Tuzungumze ukweli kabisa, Tanzania ya Kusini (Lindi, Mtwara, Ruvuma na baadhi ya mikoa ya Pwani) sehemu ambayo imesahaulika sana hapa nchini!! Kwa wale waliofika maeneo hayo watakubaliana nami.
Kwanza hawana vyanzo vya uhakika vya mapato na mazao waliyokuwa wanategemea yameporomoka vibaya sana thamani yake soko la dunia, especially korosho!
Miundo mbinu kiukweli hatuwezi kucompare na mikoa ya kaskazini mfano barabara ya kwenda huko mpaka leo haijakamilika na ni takriban miaka kumi sasa tangu ianze kujengwa na haijakamilika bado!! Barabara gani (Urefu usiozidi 600 km) katika nyanda nyingine iliwahi kujengwa kwa miaka kumi. Ukija kwenye street roads ndiyo balaa kabisa achilia mbali hizo stand kuu zilivyo!!
Wana bandari nzuri saaana but wakitaka kuagiza bidhaa kwenda na kutoka nje ya nchi mpaka Dar, bandari za Lindi na Mtwara za kazi gani?
Umeme mpaka leo hawamo kwenye grid ya taifa, wanategemea vyanzo vidogo vidogo vya umeme!! Hata hivyo sehemu kubwa ya maeneo haya hayana umeme kabisa.
Gesi imesafirishwa kutoka Mtwara mpaka Dar kwa njia ya pipe, why?
Hakuna viwanja vya ndege vya maana, vipi Lindi au Nchingwea vyote vidogo sana na hakuna upanuzi wa kiwanja chochote kanda hiyo.
Train, loh! Don`t talk about it hakuna hata reli ila ilikuwapo enzi za ukoloni wakang`oa!
Kuna kila sababu ya kuanzisha vuguvugu la kujitoa katika hii nchi ya Tanzania na kuunda taifa jipya la Tanzania ya Kusini.