Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,141
- 21,279
Wakuu
Leo katika hotuba ya raisi bungen dodoma, amaeleza kuwa ataboresha vitambulisho vya wajasiriamali wadogo wadogo, Kwa kuweka jina, na picha
Hapo awali kitambulisho hakikuwa na kitu chochote lakin bunge lilipitisha bila hata aibu
Hii inaonesha ni namna gan bungen wanalala tu,
Vitambulisho vilikuwa vinauzwa huku mitaan havina hata majina, wala picha, wabunge wapo tu, hawasemi, hadi leo mh raisi kaona kasolo
Hakuna hata mbunge wa ccm aliyewahi kukosoa hili swala
Aisee
Hii ni baada ya Lissu kuponda vitambulishao
Leo katika hotuba ya raisi bungen dodoma, amaeleza kuwa ataboresha vitambulisho vya wajasiriamali wadogo wadogo, Kwa kuweka jina, na picha
Hapo awali kitambulisho hakikuwa na kitu chochote lakin bunge lilipitisha bila hata aibu
Hii inaonesha ni namna gan bungen wanalala tu,
Vitambulisho vilikuwa vinauzwa huku mitaan havina hata majina, wala picha, wabunge wapo tu, hawasemi, hadi leo mh raisi kaona kasolo
Hakuna hata mbunge wa ccm aliyewahi kukosoa hili swala
Aisee
Hii ni baada ya Lissu kuponda vitambulishao
Attachments
-
IMG-20201112-WA0000.jpg44 KB · Views: 2
-
๐๐ฎ๐ฆ๐๐ฎ๐ฌ๐ก๐จ_๐๐๐ฐ๐ฌ๐จ๐ง_๐๐๐ ๐ข๐ง๐_on_Instagram:_โ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃโ๏ธโ๏ธโ๏ธโ%22_.mp43.3 MB
-
๐๐ฎ๐ฆ๐๐ฎ๐ฌ๐ก๐จ_๐๐๐ฐ๐ฌ๐จ๐ง_๐๐๐ ๐ข๐ง๐_on_Instagram:_โ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃโ๏ธโ๏ธโ๏ธโ%22_.mp43.3 MB