- Thread starter
- #41
Siyo hisia kaandika ukweli mtupu! Labda wewe ni mbunge ndiyo maana unaona hayakuhusu.
Kuna kaji orodha chao wakisikia katiba mpya, Chadema, Mbowe, Corona na tahadhari zake wanapagawa kwa kiwango kisicho mfano.
Tunaendelea kuihuisha orodha yao.
Hawana hoja bali maslahi yao binafsi tu.