Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,620
- 20,947
play video sikiliza kwa makiniKweli leo nimeamini propaganda ni uongo! Kwenye hiyo picha naona movement za watu - kushoto, kulia, mbele nyuma - kila mtu yuko kwenye move zake sasa hao wanao ondoka na kuzuiwa na polisi wako wapi? Msituharibie GB zetu kwa uongo huu!
Yalikuwa mazingaombwe tu,na utapeli.wa zama.hizoHuyo askofu nimemkubali kweli Mimi mwenyewe nilikuwa najiuliza hivi miujiza ya zamani kwenye maandiko ilikuwa ni uongo? Mbona Sasa siioni kwa ukubwa uleule? Ila Sasa naamini ni kweli ilikuwa inatendeka kwa ukubwa huu wa muujiza wa Mungu kumponya mtu kwenye risasi 16.
Kigogo muongomuongo sana wenye akili washampuuza kitambo sana.
Kigogo muongomuongo sana wenye akili washampuuza kitambo sana.
Wacha kufikiri huo ni muujiza - risasi za ndege haziui! Zinakujeruhi hasa zikipigwa on close range kama zilivyokuwa kwa Lissu. Hao ndio CHADEMA na picha zao kama ile ya "Faru John"!Huyo askofu nimemkubali kweli Mimi mwenyewe nilikuwa najiuliza hivi miujiza ya zamani kwenye maandiko ilikuwa ni uongo? Mbona Sasa siioni kwa ukubwa uleule? Ila Sasa naamini ni kweli ilikuwa inatendeka kwa ukubwa huu wa muujiza wa Mungu kumponya mtu kwenye risasi 16.
Wamempuuza kama walivyompuuza dada yake Mange.siku hizi si ajabu ukakuta post ina masaa 11 ina like 20 na comment 2
Eti jwtz watapora masanduku ya kura yote!
Mimi nina wasiwasi kama huyu ni Kigogo yule yule wa mwanzoKigogo muongomuongo sana wenye akili washampuuza kitambo sana.
Wasiwasi wako kwenye nini labda,jinsi anavyo post,mwandiko,ama mada zake za sasa jinsi zilivyo?Mimi nina wasiwasi kama huyu ni Kigogo yule yule wa mwanzo
Mada zake kiukweli za hovyo sana siku hizi! Anapost uongo na taarabu nyingi siku hizi! Then anashabikia vitu ambavyo mtu ukiwa na akili unaona ni kama immature posts hivi! Hivyo ndo nilivyoona kwa upande wanguWasiwasi wako kwenye nini labda,jinsi anavyo post,mwandiko,ama mada zake za sasa jinsi zilivyo?