Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Serikali ya CCM iko katika mtafaruku mkubwa. Kutokana na wimbi kubwa la kukataliwa hapa nchini hasa kuanzia kwenye mashina huku maelfu wakikimbilia CDM, serikali ilitegemea kulizuia wimbi hilo kwa kuihusisha CDM na mgomo wa madaktari na pia kupigwa kwa Dr ulimboka. Walitegemea sympathy kutoka kwa wananchi na ndiyo maana lile suala la kuonyesha wagonjwa wakifa au kuteseka walilivalia njuga sana.
Sasa azma hiyo ya CDM imekula kwao sijui wataleta nini kingine. Maana CCM imekuwa muflisi wa hoja na imeamua kutumia njia zisizo za kikawaida.
Sasa azma hiyo ya CDM imekula kwao sijui wataleta nini kingine. Maana CCM imekuwa muflisi wa hoja na imeamua kutumia njia zisizo za kikawaida.