Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 12,954
- 20,984
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanisa kubwa lisiloamini nguvu za Mungu!! Lina mfano wa utakuwa lakini linakana nguvu za Mungu!Tunajua Tanzania yako Madhehebu mengi ya Kiimani ila tusidanganyane wala tusizunguke kusema ukweli kwamba tokea Uhuru wa nchi hii hadi sasa Kanisa Katoliki lina nguvu ya 75% ndani ya Watanzania wengi na hata katika Kuamua Tawala (za Kisiasa) katika nchi hii. Wenye Akili najua kwa hili mtakuwa mmenielewa mno tu.
Asije kutokea Mwanasiasa yoyote kwasababu tu ya Ushamba na Ujuha wake au chuki zake na Ukatili wake wa Asili akathubutu kutaka ama Kuwatisha au Kulipiza Kisasi Kanisa Katoliki na Msimamo wao walioutoa jana au watakaoendelea kuutoa.
Ukiwagusa tu pabaya Kanisa Katoliki jua umeigusa Nguvu moja Kubwa yenye Mamlaka ya Kiimani si tu Tanzania bali hata duniani (ulimwenguni) kote. Kanisa Katoliki likiamua nchi isitawalike au Mtawala aone Ikulu ni pamoto au Kumjengea Chuki kwa Watawaliwa wanaweza na Kufanikiwa. Mifano ya hii iko mingi kwa mfuatiliaji mzuri wa Masuala Mtambuka yanayoendelea au yaliyotokea huko nyuma.
Nimelisema hili mapema hivi baada ya Kudokezwa kuwa yupo Mwanasiasa Mmoja amechukizwa na Msimamo wao Thabiti wa jana hivyo anataka Kuwakomoa katika Taasisi zao za Elimu na Tina nchini hasa kupitia Misamaha yao ya Kodi au Fursa fulani fulani. Nawaonya (Namuonya) huyo (huyu) Mwanasiasa kuwa All - Rounder nasema asije Kuthubutu kwani ataharibu zaidi kuliko Kujenga. Akubali ukweli na ashirikiane nao kiukaribu kwa Maslahi mema na Ustawi wa Tanzania yetu hii.
Heko sana Kanisa Katoliki Tanzania.
Wale siyo wale Bakwata vichwa maji, vichwa panzi.Toeni hilo Kanisa lenu halafu tuone tutashindwa kuishi?
Mtoeni huyo Jiwe wenu tuone maCCM mtaishijdToeni hilo Kanisa lenu halafu tuone tutashindwa kuishi?
aliekwambia haliamini nguvu za Mungu ni nani?Kanisa kubwa lisiloamini nguvu za Mungu!! Lina mfano wa utakuwa lakini linakana nguvu za Mungu!
Toeni hilo Kanisa lenu halafu tuone tutashindwa kuishi?
Mimi ndo maana sina dini kwa kweli, kwa hiyo unataka kusema hili kanisa linataka kuingia war-mode na serikali eti??? Hata yesu alisema acheni wafu wazike wafu wao, ya kaisari wamuachie kaisari.
Kama wanajali sana dini yao waache kufungua ma bar na kumbi za starehe wakaeneze injili! siku hizi makanisa yanamiliki hadi guest houses
Ni ushenzy mtupu, by the way maisha yangu nimekua mkatoliki mpaka pale nilipoona ukatoliki ni ujinga tu! MUNGU HANA DINI WALA YESU HAKULETA DINI
Mpumbavu huwa hajitambui, imani yako usilazimishe kuwa imani ya wote. Kwa wakatoliki baa na pombe sio dhambi. Nitajie dini yoyote bambayo waumini wake hawatumii pombe kabisa.Mimi ndo maana sina dini kwa kweli, kwa hiyo unataka kusema hili kanisa linataka kuingia war-mode na serikali eti??? Hata yesu alisema acheni wafu wazike wafu wao, ya kaisari wamuachie kaisari.
Kama wanajali sana dini yao waache kufungua ma bar na kumbi za starehe wakaeneze injili! siku hizi makanisa yanamiliki hadi guest houses
Ni ushenzy mtupu, by the way maisha yangu nimekua mkatoliki mpaka pale nilipoona ukatoliki ni ujinga tu! MUNGU HANA DINI WALA YESU HAKULETA DINI
Unawafahamu maalshabaab lakini?Ukitoa kanisa katoliki ni sawa na umetoa zaidi ya 60% ya huduma za kijamii kama elimu,afya,vituo vya watoto,vijana n.k ikiwa ni pamoja na kuondoa ajira kwa watu wengi mno.Unaweza ukafikiri ni jambo jepesi lakini lina madhara sana juu ya uchumi wa nchi.Pili nguvu ya kanisa katoliki duniani ni kubwa mno.Kuanzia mashirika ya kijasusi,NGOs mbalimbali hata nguvu za kijeshi na kidiplomasia ambazo zote zipo chini ya Pope kama kiongozi mkuu, Vatican.Jaribu kujiuliza ni kwanini mataifa makubwa na yenye nguvu kama USA yanaonyesha ushirikiano sana na Vatican.Ni kwasababu wanatambua nguvu ya kanisa katoliki.Serikali haiwezi kuwa juu ya kanisa katoliki hata siku moja.Kanisa likiamua rais aachie kiti chake hakuna anayeweza kuzuia.Ushahidi wa kutosha upo kuhusu viongozi wakuu walioenda kinyume na kanisa na kuvuliwa ufalme wao.Kumbuka King Henry IV na Pope Gregory VII. Pope alimexcomunicate na kutamka kumvua ufalme na ikawa hivyo.Nguvu ya ushawishi wa viongozi wa kanisa ni kubwa kuliko ushawishi wa viongozi wa kisiasa kwao.
kunaubaya gani kanisa kumiliki guest house(nyumba ya wageni)Mimi ndo maana sina dini kwa kweli, kwa hiyo unataka kusema hili kanisa linataka kuingia war-mode na serikali eti??? Hata yesu alisema acheni wafu wazike wafu wao, ya kaisari wamuachie kaisari.
Kama wanajali sana dini yao waache kufungua ma bar na kumbi za starehe wakaeneze injili! siku hizi makanisa yanamiliki hadi guest houses
Ni ushenzy mtupu, by the way maisha yangu nimekua mkatoliki mpaka pale nilipoona ukatoliki ni ujinga tu! MUNGU HANA DINI WALA YESU HAKULETA DINI
Ninyi wanasiasa uchwara ndio mnawaharibia hao viongozi wa dini (sio kiroho).Tunajua Tanzania yako Madhehebu mengi ya Kiimani ila tusidanganyane wala tusizunguke kusema ukweli kwamba tokea Uhuru wa nchi hii hadi sasa Kanisa Katoliki lina nguvu ya 75% ndani ya Watanzania wengi na hata katika Kuamua Tawala (za Kisiasa) katika nchi hii. Wenye Akili najua kwa hili mtakuwa mmenielewa mno tu.
Asije kutokea Mwanasiasa yoyote kwasababu tu ya Ushamba na Ujuha wake au chuki zake na Ukatili wake wa Asili akathubutu kutaka ama Kuwatisha au Kulipiza Kisasi Kanisa Katoliki na Msimamo wao walioutoa jana au watakaoendelea kuutoa.
Ukiwagusa tu pabaya Kanisa Katoliki jua umeigusa Nguvu moja Kubwa yenye Mamlaka ya Kiimani si tu Tanzania bali hata duniani (ulimwenguni) kote. Kanisa Katoliki likiamua nchi isitawalike au Mtawala aone Ikulu ni pamoto au Kumjengea Chuki kwa Watawaliwa wanaweza na Kufanikiwa. Mifano ya hii iko mingi kwa mfuatiliaji mzuri wa Masuala Mtambuka yanayoendelea au yaliyotokea huko nyuma.
Nimelisema hili mapema hivi baada ya Kudokezwa kuwa yupo Mwanasiasa Mmoja amechukizwa na Msimamo wao Thabiti wa jana hivyo anataka Kuwakomoa katika Taasisi zao za Elimu na Tina nchini hasa kupitia Misamaha yao ya Kodi au Fursa fulani fulani. Nawaonya (Namuonya) huyo (huyu) Mwanasiasa kuwa All - Rounder nasema asije Kuthubutu kwani ataharibu zaidi kuliko Kujenga. Akubali ukweli na ashirikiane nao kiukaribu kwa Maslahi mema na Ustawi wa Tanzania yetu hii.
Heko sana Kanisa Katoliki Tanzania.
Haya mkuu ngoja tuone na msimamo wa Bakwata!
sijalazimisha imani yangu kwa mtu yoyote! hata iwe ni taasisi ya miaka bilioni mbili mungu ni yuleyule biblia ni ileileKumbe
Mpumbavu huwa hajitambui, imani yako usilazimishe kuwa imani ya wote. Kwa wakatoliki baa na pombe sio dhambi. Nitajie dini yoyote bambayo waumini wake hawatumii pombe kabisa.
kumbuka hii ni taasisi yenye umri zaidi ha mika 2000
sijalazimisha imani yangu kwa mtu yoyote! hata iwe ni taasisi ya miaka bilioni mbili mungu ni yuleyule biblia ni ileile
kanisa lime wa brainwash sana
kanisa linawafunga sana akili sio siri huwezi fikiri nje ya box hata kidogo mpaka uwe mjanja sana na uwe ushaona vingi ndo unaweza kufikiri na kutafakari vizuri, umebatizwa una mieizi 6 hata baba yako humjui sembuse mungu umekulia ktk kafundisho na imani ya kikristo ukaaminishwa tangu utotoni, ni ngum sana kuvunja hizo chainsUsijitoe ufahamu ndugu au kutaka kujifanya mjuaji.Huyo Mungu uliyefundishwa habari zake bila shaka unaamini ndiye aliyemtuma mwanae (Yesu kristu) aje aokoe watu wake naye akateua mitume 12 (Mmoja akiwa Petro ambaye alimwambia atalijenga kanisa lake juu yake)
Nanukuu:
MT 16:3
Basi Yesu akaenda pande za Kaisaria-Filipi, akawauliza wanafunzi wake akasema, Watu hunena Mwana wa Adamu kuwa ni nani? 14Wakasema, Wengine hunena u Yohana Mbatizaji, wengine Eliya, wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii. 15Akawaambia, Nanyi mwaninena mimi kuwa ni nani? 16Simoni Petro akajibu akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai. 17Yesu akajibu, akamwambia, Heri wewe Simoni Bar-yona; kwa kuwa mwili na damu havikukufunulia hili, bali Baba yangu aliye mbinguni. 18Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni. 20Ndipo alipowakataza sana wanafunzi wake wasimwambie mtu ye yote ya kwamba yeye ndiye Kristo.
Mwisho wa kunukuu
akawapa mafundisho ya kiimani kisha akawaambia nendeni ulimwenguni kote mkaihubiri injili na kuwabatiza watu ili wamrudie Mungu katika imani na hao waliobatizwa unajua waliitwaje? Wa-Kristu yaani watu wanaomfuata Yesu na mafundisho yake.Sasa unaposema Yesu hakuleta dini hao Wa-kristu ni kina nani? Kwanza unaelewa maana ya dini? Huyo Yesu mwenyewe au Mungu usingemjua pasipo dini yako iliyokufundisha mpaka sasa umekuwa mkubwa ndio umepata jeuri ya kuhoji.
ukweli naujua mm na mungu wanguPole ndugu yangu umezibwa na shetani kiasi hicho. Kama uliona catholic wanaenda kinyume basi kwann usingejikita kuutafuta ukweli kuliko kuconclude hvo kirahisi? Mungu akutie nguvu usije ukapotea upotevuni kwasababu ya background fulani. Amen.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app