Lutandagula
JF-Expert Member
- Apr 8, 2018
- 1,762
- 2,157
Acha roho ya kishetani,kafungue kesi mahakamani maana utakuwa na ushahidi wa kujitosheleza hizo pole za hao zinatuhisu nini sisi? Kama una ushahidi wa kutosha nenda mahakamani ukafungue mashitaki usilazimishe matakwa yako yafanyiwe kazi!