Baada ya Salum Hamduni wa PCCB 'kumtetea' na 'kumlinda' Paul Makonda, naomba nitume salamu za pole kwa wafuatao...

1. Ben Saanane pole sana huko uliko.

2. Azory Gwanda pole sana huko uliko.

3. Binti Akwilina Akwilina pole sana huko uliko.

4. Clouds tv hasa hasa Marehemu Ruge na Watangazaji wa Shilawadu akina Soudy Brown na Kwisa poleni sana.

5. Mwanamuziki Roma Mkatoliki pole sana.

6. Yusuf Mehboob Manji pole sana

7. Nape Nnauye pole sana Kukoswakoswa Kufumuliwa Ubongo wako Mubashara pale St. Peters Oysterbay.

8. Mo Dewji pole sana na zile Khanga zako mbichi zilizokupendeza pia.

9. Maiti zote zilizokutwa zikielea Coco Beach, Kawe Beach na Kunduchi Beach poleni huko mliko

10. Tundu Lissu pole sana

11. Uliyekuwa Mmoja wa Walinzi wa aliyeondoka tarehe 17 Machi, 2021 ( sasa ni DSO ) Wilaya Moja ambayo Mwezi huu kuna Baridi Kali hadi inagandisha Mapumbu ( Kende za Wanaume ) pole sana kwa Kukoswakoswa Kuondoka duniani ukihusishwa kuwa Wewe ndiyo Yule Mbabe wa Twita.

12. Modestus Kipilimba ( sasa Balozi ) na Robert Msalika ( RAS ) Tabora nanyi pia Poleni sana.

13. Malaya wakubwa wa Beach Kidimbwi nanyi poleni kwa Kudai chenu hadi Leo wakati Huduma yenu mlitoa vizuri tu na Mru kusikia Utamu hadi akawa habanduki hapo.

14. Msio na Hatia yoyote ile lakini mkasingiziwa nanyi ni ' Drug Barons ' nchini Tanzania na hasa hasa Mkoani Dar es Salaam poleni sana.

15. Boss wa TSN Supermarket pole sana kwa Kulazimishwa kila Mwezi utoe Lita 3000 ( Elfu Tatu ) za bure kwa Gari ya Mtu.

16. Waandamizi wote wa TISS nanyi pia Poleni kwa zile ' Dossiers ' zenu kumhusu Mtu fulani na Matendo yake ' Hatarishi ' kwa Usalama na Ustawi wa nchi Kuchanwa na Kutupwa huku mkinyamazishwa na aliyenyamazishwa Kimoja na Israeli.

17. Poleni sana Waandishi wa Habari ( hasa hasa wa Gazeti la Tanzania ) Wewe uitwae Ibrahim Yamola ( sasa upo Mwananchi Tabata ) kama Chief Reporter kwa Misukosuko na Vitisho vya kutolewa hadi Uhai wako ulivyovipata.

18. Nawe Mtume Mwamposa pole sana kwa kila Mwezi kulazimishwa Kuchangia Tsh Milioni 10 za Maendeleo ya Mkoa wa Dar es Salaam ila ukawa unalazimishwa uiweke katika Akaunti Binafsi ya Mtu.

19. Pole sana Mzee Jaji Joseph Sinde Warioba kwa Kufanywa ' Punching Bag ' na Mtu pale Blue Pearl Ubungo mwaka nimeusahau japo baadae ulitumiwa Meseji na mpaka ukapigiwa Simu kuwa Ukaushe ( Uuchune ) na ikiwezekana umtetee kwa Nguvu zote kuwa hakukupiga.

20. Pole sana Ridhiwani Kikwete kwa Nyoka uliyemfuga Mwenyewe hatimaye alivyokuwa mkubwa akaanza ' Kukung'ata ' na Wewe pia huku akikutisha ' Kukupukutisha ' Utajiri wako na ' ukanywea ' kweli kweli japo kwa sasa ni Mtu mwenye Furaha mno sijajua ni kwanini.

Popote pale alipo Salum Hamduni ( Boss TAKUKURU ) nifikishieni GENTAMYCINE salamu zangu za dhati kabisa Kwake kwa Kauli yake ila atambue tu ya kwamba Marehemu Ruge Mutahaba alituasa kuwa tukiwa hapa duniani tuogope sana Vitu Viwili tu Mwenyezi Mungu na Teknolojia ya Mzungu.
mkuu pole kwa mbunge wa CCM sumbawanga mjini
 
1. Ben Saanane pole sana huko uliko.

2. Azory Gwanda pole sana huko uliko.

3. Binti Akwilina Akwilina pole sana huko uliko.

4. Clouds tv hasa hasa Marehemu Ruge na Watangazaji wa Shilawadu akina Soudy Brown na Kwisa poleni sana.

5. Mwanamuziki Roma Mkatoliki pole sana.

6. Yusuf Mehboob Manji pole sana

7. Nape Nnauye pole sana Kukoswakoswa Kufumuliwa Ubongo wako Mubashara pale St. Peters Oysterbay.

8. Mo Dewji pole sana na zile Khanga zako mbichi zilizokupendeza pia.

9. Maiti zote zilizokutwa zikielea Coco Beach, Kawe Beach na Kunduchi Beach poleni huko mliko

10. Tundu Lissu pole sana

11. Uliyekuwa Mmoja wa Walinzi wa aliyeondoka tarehe 17 Machi, 2021 ( sasa ni DSO ) Wilaya Moja ambayo Mwezi huu kuna Baridi Kali hadi inagandisha Mapumbu ( Kende za Wanaume ) pole sana kwa Kukoswakoswa Kuondoka duniani ukihusishwa kuwa Wewe ndiyo Yule Mbabe wa Twita.

12. Modestus Kipilimba ( sasa Balozi ) na Robert Msalika ( RAS ) Tabora nanyi pia Poleni sana.

13. Malaya wakubwa wa Beach Kidimbwi nanyi poleni kwa Kudai chenu hadi Leo wakati Huduma yenu mlitoa vizuri tu na Mru kusikia Utamu hadi akawa habanduki hapo.

14. Msio na Hatia yoyote ile lakini mkasingiziwa nanyi ni ' Drug Barons ' nchini Tanzania na hasa hasa Mkoani Dar es Salaam poleni sana.

15. Boss wa TSN Supermarket pole sana kwa Kulazimishwa kila Mwezi utoe Lita 3000 ( Elfu Tatu ) za bure kwa Gari ya Mtu.

16. Waandamizi wote wa TISS nanyi pia Poleni kwa zile ' Dossiers ' zenu kumhusu Mtu fulani na Matendo yake ' Hatarishi ' kwa Usalama na Ustawi wa nchi Kuchanwa na Kutupwa huku mkinyamazishwa na aliyenyamazishwa Kimoja na Israeli.

17. Poleni sana Waandishi wa Habari ( hasa hasa wa Gazeti la Tanzania ) Wewe uitwae Ibrahim Yamola ( sasa upo Mwananchi Tabata ) kama Chief Reporter kwa Misukosuko na Vitisho vya kutolewa hadi Uhai wako ulivyovipata.

18. Nawe Mtume Mwamposa pole sana kwa kila Mwezi kulazimishwa Kuchangia Tsh Milioni 10 za Maendeleo ya Mkoa wa Dar es Salaam ila ukawa unalazimishwa uiweke katika Akaunti Binafsi ya Mtu.

19. Pole sana Mzee Jaji Joseph Sinde Warioba kwa Kufanywa ' Punching Bag ' na Mtu pale Blue Pearl Ubungo mwaka nimeusahau japo baadae ulitumiwa Meseji na mpaka ukapigiwa Simu kuwa Ukaushe ( Uuchune ) na ikiwezekana umtetee kwa Nguvu zote kuwa hakukupiga.

20. Pole sana Ridhiwani Kikwete kwa Nyoka uliyemfuga Mwenyewe hatimaye alivyokuwa mkubwa akaanza ' Kukung'ata ' na Wewe pia huku akikutisha ' Kukupukutisha ' Utajiri wako na ' ukanywea ' kweli kweli japo kwa sasa ni Mtu mwenye Furaha mno sijajua ni kwanini.

Popote pale alipo Salum Hamduni ( Boss TAKUKURU ) nifikishieni GENTAMYCINE salamu zangu za dhati kabisa Kwake kwa Kauli yake ila atambue tu ya kwamba Marehemu Ruge Mutahaba alituasa kuwa tukiwa hapa duniani tuogope sana Vitu Viwili tu Mwenyezi Mungu na Teknolojia ya Mzungu.
vyote viwili hivyo technologia na mungu hawaoni kosa kwa makondamtaendelea kukonda kwa roho zenu mbaya kazi inaendelea
 
Hivi hamjui uhusiano wa kutisha katika ya Makonda nayule mama wa ushungi? Mbona picha yao ilisambaa mitandaoni kitambo
Msitukere hadi sasa tukapandwa na Hasira na tukasema Mabaya ambayo Makonda alimfanyia Mama kwa ' Kumchongea ' kwa Hayati ' Babaake ' hadi Mama wa Watu akataka kuachia ngazi 2018 ila ' Busara ' za Rais Mstaafu Kikwete zilimtuliza japo Uhusiano wao uliendelea kuwa ni wa ' Kinafiki ' na ' Wasiwasi ' mpaka ilipofikia tarehe 17 Machi, 2021 pale kwa Mzena Makumbusho.
 
Back
Top Bottom