mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
Naamini Mungu atasikia kilio cha watanzania wengi na kupitia vyombo vyetu au njia yoyote ile Sakata la Kibiti kupita...
Kuna watu wanaposikia Pori hawawezi kuelewa hadi wapande daladala(Noah/Landlover/pickup ndio daladala za huko) moja Inatokea Bagamoyo mjini hadi Matipwili au kuendelea zaidi hadi Saadan kwa kukatia kona kijiji cha Makurunge Mkwajuni. Hapo utapita katikati ya Pori kubwa sana linalosemekana kuwa ni shamba la Muwekezaji ECOEnergy, wengine wanasema ni la Serikali ya zanzibar walipewa na Mwalimu enzi hizo, Wengine wananchi walijichukulia maeneo huko kabla ya kufurushwa na kuonekana ni wavamizi wajuzi wanajua.
Hapo katikati kuna vijiji visivyo rasmi kama Gama, Makaani, Number 4 n.k eneo hilo pia linavibandari vidogo vidogo visivyo rasmi.
Maeneo kama hayo ukilinganisha na mapori yote yanayozunguka jiji na yaliyoko mkoa wa pwani yafanyiwe utaratibu wa kuendelezwa kwa watu ambao wako tayari.
Kamwe asiachwe mtu anaejiita muwekezaji miaka mingi bila kupanda hata mpapai.
Pakichangamka pote huko kwa utaratibu mahususi hapata kuwa kivutio cha waarifu na kama maficho ya watu wenye nia ovu.
Zile miaka ya Mtu kusema anashamba hekari 500 kumbe ana Pori la hekari Miatano miaka karibu 20 bila kuwa na kitu sio sawa utakuwa unamiliki incubator na maficho ya waarifu.
nawapongeza pia CHADEMA kwa kuonyesha jitihada za kufanya msitu shamba huko bagamoyo sijui ni wapi na waliishia wapi na wanazalisha nini ila kwa hatua hiyo wanastahili kupongezwa...
Kuna watu wanaposikia Pori hawawezi kuelewa hadi wapande daladala(Noah/Landlover/pickup ndio daladala za huko) moja Inatokea Bagamoyo mjini hadi Matipwili au kuendelea zaidi hadi Saadan kwa kukatia kona kijiji cha Makurunge Mkwajuni. Hapo utapita katikati ya Pori kubwa sana linalosemekana kuwa ni shamba la Muwekezaji ECOEnergy, wengine wanasema ni la Serikali ya zanzibar walipewa na Mwalimu enzi hizo, Wengine wananchi walijichukulia maeneo huko kabla ya kufurushwa na kuonekana ni wavamizi wajuzi wanajua.
Hapo katikati kuna vijiji visivyo rasmi kama Gama, Makaani, Number 4 n.k eneo hilo pia linavibandari vidogo vidogo visivyo rasmi.
Maeneo kama hayo ukilinganisha na mapori yote yanayozunguka jiji na yaliyoko mkoa wa pwani yafanyiwe utaratibu wa kuendelezwa kwa watu ambao wako tayari.
Kamwe asiachwe mtu anaejiita muwekezaji miaka mingi bila kupanda hata mpapai.
Pakichangamka pote huko kwa utaratibu mahususi hapata kuwa kivutio cha waarifu na kama maficho ya watu wenye nia ovu.
Zile miaka ya Mtu kusema anashamba hekari 500 kumbe ana Pori la hekari Miatano miaka karibu 20 bila kuwa na kitu sio sawa utakuwa unamiliki incubator na maficho ya waarifu.
nawapongeza pia CHADEMA kwa kuonyesha jitihada za kufanya msitu shamba huko bagamoyo sijui ni wapi na waliishia wapi na wanazalisha nini ila kwa hatua hiyo wanastahili kupongezwa...