Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Moja ya funzo kubwa tunalopata kutokana na hukumu ya Sabaya ni kuwa, hata ukitumika na wakubwa ,ipo siku hawatakuwapo na hata wakiwepo, wanaweza wasiwe na msaada kwako hivyo yatakukuta tu kama yalivyomkuta Sabaya leo hii.
Mliomshambulia Lissu kwa risasi mkoani Dodoma,, mjue siku yenu ipo na inakuja na mtawajibika kwa matendo yenu bila kujali mtamtaja nani mbele ya Pilato kuwa ndie aliewatuma. Mwenzenu alitaja watu/mtu fulani lakini haijamsaidia hivyo bado nyie.
Hata waliomua Raisi wa zamani wa Burkina Faso, Thomas Sankara, miaka mingi iliopita,leo wanapandishwa kizimbani kujibu mashitaka.
Tuombe uzima tu.
Mliomshambulia Lissu kwa risasi mkoani Dodoma,, mjue siku yenu ipo na inakuja na mtawajibika kwa matendo yenu bila kujali mtamtaja nani mbele ya Pilato kuwa ndie aliewatuma. Mwenzenu alitaja watu/mtu fulani lakini haijamsaidia hivyo bado nyie.
Hata waliomua Raisi wa zamani wa Burkina Faso, Thomas Sankara, miaka mingi iliopita,leo wanapandishwa kizimbani kujibu mashitaka.
Tuombe uzima tu.