Baada ya Sabaya kuhukumiwa una lipi la kusema kuhusu serikali iliyomteua na kutochukua hatua kwa matendo yote hayo?

Kwani mama anapambana na marehemu?
Marehemu akiwa Mbishi Sana Hakuna namna Ni KUPAMBANA naye tu Mpaka atakapofukiwa na udongo moja kwa moja na kutuachia nchi yetu. Hatucheki na Kima Tena Wala kulea Mijambazi. Ally Happy ajiandae kujibu kesi ya Uhujumu uchumi mda Sio Mrefu,Kule Mara alikopelekwa ndiko Mtego wake uliko.
 
Marehemu akiwa Mbishi Sana Hakuna namna Ni KUPAMBANA naye tu Mpaka atakapofukiwa na udongo moja kwa moja na kutuachia nchi yetu. Hatucheki na Kima Tena Wala kulea Mijambazi. Ally Happy ajiandae kujibu kesi ya Uhujumu uchumi mda Sio Mrefu,Kule Mara alikopelekwa ndiko Mtego wake uliko.
Haya kojoa ukalale!
 
Marehemu akiwa Mbishi Sana Hakuna namna Ni KUPAMBANA naye tu Mpaka atakapofukiwa na udongo moja kwa moja na kutuachia nchi yetu. Hatucheki na Kima Tena Wala kulea Mijambazi. Ally Happy ajiandae kujibu kesi ya Uhujumu uchumi mda Sio Mrefu,Kule Mara alikopelekwa ndiko Mtego wake uliko.

Na mgombea Wake mwenza je. Kama Hiyo ndo mantiki yako.
 
Lengai ole sabaya alikuwa muovu.
Akiwatsa watu kukojoa mbowe.
Mungu wetu mkuu ameoneaha kwamba yye ni mwema.
Amehukumiwa .aliyemteua licha ya kuwa alighushi vitambulisho vya usalama hayupo
Haki imetamalaki
Asante mungu nikulipe nn baba
 
Back
Top Bottom