Baada ya Road licence SUMATRA nako kuangaliwe

mycall

JF-Expert Member
Dec 17, 2014
865
517
Huwa sioni sababu ya Sumatra kushughurika na ukaguzi wa vyombo vya usafiri wa nchi kavu, wakati kazi hiyohiyo inafanywa na Polisi wa usalama barabarani/Trafiki. Huku ni kuwaongezea gharama wamiliki wa magari bila sababu.
Kwanini SUMATRA wasi deal na vyombo vya majini pamoja na magari ya Abiria tu na Magari ya mizigo yakaachiwa Trafiki na Wakara wa vipimo na Mizani?
Hiyo ada ya kila mwaka ya Sumatra kwa magari ya mizigo kwa mini isifutwe, Mimi huwa sioni kabisa umhimu wake, nikuongezeana gharama bila sababu.Gari huendelea kudaiwa hata kama limesimama ! kama ivyokuwa Load licence. Ukichelewa kulipa fine ni sh. 250000 wakati ada halisi ni chini ya sh. 100000.
Hebu tujadiri hili jamani.

cc. Bashe
Msukuma
Msigwa
Lissu
Serukamba
 
Sasa hao wa magari ya abiria wao huwa awakaguliwi na traffic? Au wao ndo hupenda kuongezewa gharama? Hoja yako ni ya msingi ila umeiwasilisha ki ubinafsi zaidi. Sumatra washughurikie vyombo vya majini tu. Huku nchi kavu traffic, veco, mizani wanatosha. Hakuna haja ya kuongezeana ukali wa maisha bila sababu.
 
Trafiki wapange na route za magari hiyo ngumu sana
Ndiyo maana nikasema Sumatra wa deal na vyombo vya majini na vile vya usafiri wa Abiria. Magari ya mizigo huwa hayapangiwi route.
 
Ndiyo ifutwe upande wa vyombo vya nchi kavu, maana hata yenyewe ada hudaiwa hata kama chombo kimesimama, the same as Load licence fee.
sasa taasisi ipi itasimamia usafiri wa ardhini na majini?
 
sasa taasisi ipi itasimamia usafiri wa ardhini na majini?
Nimesema upande wa nchi kavu wasihusike kwa kuwa kuna Trafiki na wakara wa vipimo na mizani. Kwa maana hiyo ada hiyo isitozwe. Wabaki na vyombo vya majini tu.
 
SUMATRA wasi deal na vyombo vya majini pamoja na magari ya Abiria tu na Magari ya mizigo yakaachiwa
Kwanza fanya uchunguzi kijana/msichana.kabla ya..ooh hivi...oh vilee..hata magari ya mizigo pia yanalipa SUMATRA.
 
Kwanza fanya uchunguzi kijana/msichana.kabla ya..ooh hivi...oh vilee..hata magari ya mizigo pia yanalipa SUMATRA.
Magari ya mizigo yanalipa na Mimi mmoja wa wamiriki wa vyombo hivyo. Tena ukichelewa tarehe ya kulipa fine ni sh. 250000. Nenda Dodoma kwenye mzani wa NARA kuna beria,kila siku Sumatra wapo wanakaguwa na kutoza magari yaendayo mikoa ya kati na kanda ya ziwa
 
Hiyo itakuwa badae ngoja kwanza tumalizie huu mwezi tusidaiwe tena Road Licence then tujadili Sumatra Sawa! Sawa?!
 
Back
Top Bottom