Kwasasa yupo na Mh. Lowasa ndani ya CCMHuyu ndio alikuwa mpinzani wa kweli alivyoona lowasa kauziwa chama akaamua akae pembeni,hajatokea Tena mpinzani Kama yeye mpaka Sasa
View attachment 1443103
Mimi nashangaa sana wanatangaza CDM imekufa sasa inakuwaje unahangaika na mfu si ninkupoteza wakatiKumekucha...mpango ni Kufuta CHADEMA Kama Chama kikuu Cha upinzani Tz
Huyu ndio alikuwa mpinzani wa kweli alivyoona lowasa kauziwa chama akaamua akae pembeni,hajatokea Tena mpinzani Kama yeye mpaka Sasa
View attachment 1443103
Sioni tatizo katika barua hii. Ni wito wa 'mahojiano' tena kwa 'hiyari' ya mhusika. Hiyo ndiyo busara ya Simbachawene.Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar, limesema baada ya RC Makonda kutoa saa 24 kwa Wabunge walioko jijini humo kurejea Bungeni, limewataka wale ambao bado hawajaondoka, kuripoti kwa hiyari yao katika ofisi ya Upelelezi, Kanda Maalum kwa mahojiano
View attachment 1442715
Huyu mzee kashageuka kabisaKongwa? Kwanini kusiwe na maendeleo hata Kama chadema haipo,kwani serikali inatekeleza ilani ya chadema au ya CCM? Ilani ya CCM ndio inayotumika sio kongwa tu hata Jimbo la HAI, na chadema iwepo isiwepo hakuna kinachozidi Wala kupungua, halafu chadema haionewi ila inatafuta kiki zisizo na faida utavunja vipi Sheria halafu usichukuliwe hatua kisa tu wewe ni chadema?
View attachment 1442959
We nawe umezidi kujitoa akili,dawa yako mijitusi tu..Chadema tuliwaonya humu jamii forums
Tukatukanwa kila aina ya Matusi, matusi ya Chadema huniharibia mudi ya kuchangia
Kufufua uchumi. Kumbe Uchumi umekufa?Nawapongeza polisi wakamateni haraka wameiba pesa za walipa kodi bungeni za vikao wakati vikao vyenyewe hawajakaa wakamateni wafungulieni kesi za uhujumu uchumi hizo pesa walizochukua bila kuwa bungeni zingetumika kufufua uchumi
Hivi Zitto alishamshughulikia Musiba kimya kimya nn?maana ilikuwa halali bila kumtajataja lakini siku hz kimyaa.Ole wake Makonda amguse Zitto mutu ya Kigoma aone, amuulize marehemu mama Lwakatare Kule kaburini atampa jibu.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa sasa Taifa letu linapambana na pandemic mbili; COVID19 na UpumbavuJeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar, limesema baada ya RC Makonda kutoa saa 24 kwa Wabunge walioko jijini humo kurejea Bungeni, limewataka wale ambao bado hawajaondoka, kuripoti kwa hiyari yao katika ofisi ya Upelelezi, Kanda Maalum kwa mahojiano
View attachment 1442715
Hawa hapa;Ngoja tuone nani ataenda. Wabunge wengi wa CCM na mawaziri wapo mjini wakizunguka tu. Polisi hawana mamlaka ya kumsummon mtu kwa matamko tu ya kisiasa as long as mtu hajavunja sheria yoyote.
Mtu wa kudeal na Wabunge ni Speaker na tayari keshatoa maagizo ya kwamba hawa watu warudishe fedha za posho walizolipwa kabla hawajaamua kuji-isolate