pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,636
- 6,261
Ukifatilia hotuba Rais bungeni aligusia mambo mengi na wabunge walipiga makofi kama yote, lakini aliposema Uhuru na Demokrasia ni msingi wa amani katika nchi makofi yalipungua sana.
Labda CCM hawaamini kuwa madarakani bila kuminya Demokrasia? Hau wabunge wengi wanajua mpira ukiwekwa na refa akiwa huru wengi hawatarudi bungeni?
Nawasilisha.
Labda CCM hawaamini kuwa madarakani bila kuminya Demokrasia? Hau wabunge wengi wanajua mpira ukiwekwa na refa akiwa huru wengi hawatarudi bungeni?
Nawasilisha.